Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
“Simba kilichobadilika ni hizi jezi. Simba hii ya msimu huu ni mbovu kuliko ile iliyopita. Simba iliyopita ilikuwa na wachezaji ambao mnasema wameshazeeka lakini wana uzoefu ambayo walikuwa wanawasaidia kwenye baadhi ya mechi” Ally Kamwe, Afisa Habari Yanga SC
Je Ali Kamwe Yuko sahihi....au kazingua
Je Ali Kamwe Yuko sahihi....au kazingua