Tunapewa kombe letu la 30Kuna nn mkuu [emoji23]
Kwamba mnamuonea wivu kulipwa sana? Acheni vijana wapate hela, hata Aziz Ki naye anadai bila $500,000 ambayo ni zaidi ya sh. 1.5B ya Tanzania, hatasaini. Namuunga mkono Kibu, namuunga mkono Aziz KiHii mbona ilikuwa wazi kabisa, wamejichanganya mjomba Kibu sasa atakuwa among the highest paid footballers in Tz 😁
Unga tu vyote mkuu, mjazeni mihela RastaKwamba mnamuonea wivu kulipwa sana? Acheni vijana wapate hela, hata Aziz Ki naye anadai bila $500,000 ambayo ni zaidi ya sh. 1.5B ya Tanzania, hatasaini. Namuunga mkono Kibu, namuunga mkono Aziz Ki
Aziz ki hata akilipwa billion 1 Kwa mwezi sawa ila sio huyo mkongo hamna anachokifanya kiufupi wajinga ndio waliwao kibu mjanja sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba mnamuonea wivu kulipwa sana? Acheni vijana wapate hela, hata Aziz Ki naye anadai bila $500,000 ambayo ni zaidi ya sh. 1.5B ya Tanzania, hatasaini. Namuunga mkono Kibu, namuunga mkono Aziz Ki
hahahahhahahaah!na mm nilishangaaa YANGA wanamtakaje mtu na goli moja tu aiseeeALLY KAMWE: TUMEWAJAZA WAMEJAA
"Tunaemtaka Pale yupo Tumewajaza Kwa Rasta Wamekurupuka Wamempa Mkataba Na Pesa Nyingi, Hatuwezi Kumsajili Mshambuliaji Kwa Msimu Ana Bao Moja tu Pekee." -Ally Kamwe
View attachment 2997896