Ali Kamwe: Simba wakisusia derby tutageuza Yanga day

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Afisa Habari wa Yanga SC Ali Kamwe amesema mashabiki wa Simba SC wakijichanganya waisusie Kariakoo Derby Jumamosi hii na kuamua wasije uwanjani, basi wataigeuza siku hiyo kuwa kilele cha wiki ya Wananchi kwa kuujaza uwanja wote washabiki wa Yanga wakiwa na jezi za kijani na njano.


 
Mbona ya Mamelod hamkuigeuza na ilikuwa bure, hamuwezi kujaza msitafute huruma ya Simba
Kwa hiyo Mamelody uwanja haukajwa na kijani na njano,na ilikuwaje ilipofika saa12 jioni yakaanza kutoka matangazo kuwa watu wabakie nyumbani wasiende tena uwanjani sababu uwanja umejaa na muda huo huo mageti yakawa yanavunjwa?
 
Yanga hana ubavu wa kujaza uwanja
 
Kwa hiyo Mamelody uwanja haukajwa na kijani na njano,na ilikuwaje ilipofika saa12 jioni yakaanza kutoka matangazo kuwa watu wabakie nyumbani wasiende tena uwanjani sababu uwanja umejaa na muda huo huo mageti yakawa yanavunjwa?
Mnapenda bure nyie, haya ushalipiwa weye
 
Aaahaaaa
 
Mshike huyo... hatoki mtu, nmeupaka mkongo hatoki mtu [emoji445][emoji444][emoji445] pelele pee pelepe pararaa mpampa [emoji445][emoji445][emoji445][emoji445] aaahh ameyatimbaa
Makolo wameyatimba [emoji3063]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…