Ali Kamwe: Simba watafute kipa kuliko kujifariji kwenda FIFA world cup 2025

Mbona hata Diara aliwahi pigwa tobo na Okra ,na bado Yanga hawajatafuta kipa mwingine
 
Hivi huyu kijana sio chakula kweli , halafu ni kijana au mzee

Nasikia na Ahmed nae ni chakula
 
Wasemaji = Wachambaji.
 
Ingetokea utopolo ndio wakatajwa kwenye hiyo orodha hivyo videmu viwili vingeenda kuweka mabango airport
 
Reactions: EEX
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…