Mr specelist
Senior Member
- Dec 9, 2021
- 171
- 228
Hakuna cha muda bado tim yenu imeanzishwa toka enzi za wakoloni sas sjajua ni muda gan huo unasemeaMuda bado
Huyu jama ndo kama kale kajamaa kao privajinga kule X yani bila kuitaja simba sku zao haziend kabsaHuyu jamaa nae muda wote anaizungumzia simba tu, ulimbukeni tu.
Aliyekwqmbia Simba wanataka ushauri kutoka kwa utopolopwinyo ni nani?Ushauri tu mkuu[emoji23]
Mbona hata Diara aliwahi pigwa tobo na Okra ,na bado Yanga hawajatafuta kipa mwingineAmeandika @alikamwe
Tena Bila aibu .. Wameandika kwa Mbwembwe kabisa Eti Klabu ππ’π§ππ³π¨π°ππ§π’π kucheza Klabu Bingwa ya Dunia[emoji3] Wanawaniaje? Kimyaaaa ..
Naona Wachambuzi wanapata Kigugumizi Hapo kuelezea Ukweli Ulivyo [emoji23] Ndugu zangu Haya sio mashindano ya Ana Ana Doo kama ule mchongo wa Saudia ulivyokuwa β¦
Hii ni FIFA CLUB WORLD CUP .. Wachambuzi waambieni Watanzania Ukweli .. Msiishie Juu Juu tu kama Matandu ya Ubwabwa[emoji3]
Na nyie Makolo .. Hii nguvu mnayoitumia kuseti Watu mngeitumia kutafuta Kipa kwanza wa kubana miguu anapokutana na Waziri Jr ingewasaidia sana
Ayubu Nisameheeeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Wasemaji = Wachambaji.Ameandika @alikamwe
Tena Bila aibu .. Wameandika kwa Mbwembwe kabisa Eti Klabu ππ’π§ππ³π¨π°ππ§π’π kucheza Klabu Bingwa ya Dunia[emoji3] Wanawaniaje? Kimyaaaa ..
Naona Wachambuzi wanapata Kigugumizi Hapo kuelezea Ukweli Ulivyo [emoji23] Ndugu zangu Haya sio mashindano ya Ana Ana Doo kama ule mchongo wa Saudia ulivyokuwa β¦
Hii ni FIFA CLUB WORLD CUP .. Wachambuzi waambieni Watanzania Ukweli .. Msiishie Juu Juu tu kama Matandu ya Ubwabwa[emoji3]
Na nyie Makolo .. Hii nguvu mnayoitumia kuseti Watu mngeitumia kutafuta Kipa kwanza wa kubana miguu anapokutana na Waziri Jr ingewasaidia sana
Ayubu Nisameheeeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
ππ π€£ Kweli kabisa boss. Watu mnajua kufananisha!Kana Kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.