Mr specelist
Senior Member
- Dec 9, 2021
- 171
- 228
Hakuna cha muda bado tim yenu imeanzishwa toka enzi za wakoloni sas sjajua ni muda gan huo unasemeaMuda bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha muda bado tim yenu imeanzishwa toka enzi za wakoloni sas sjajua ni muda gan huo unasemeaMuda bado
Huyu jama ndo kama kale kajamaa kao privajinga kule X yani bila kuitaja simba sku zao haziend kabsaHuyu jamaa nae muda wote anaizungumzia simba tu, ulimbukeni tu.
Aliyekwqmbia Simba wanataka ushauri kutoka kwa utopolopwinyo ni nani?Ushauri tu mkuu[emoji23]
Mbona hata Diara aliwahi pigwa tobo na Okra ,na bado Yanga hawajatafuta kipa mwingineAmeandika @alikamwe
Tena Bila aibu .. Wameandika kwa Mbwembwe kabisa Eti Klabu 𝐙𝐢𝐧𝐚𝐳𝐨𝐰𝐚𝐧𝐢𝐚 kucheza Klabu Bingwa ya Dunia[emoji3] Wanawaniaje? Kimyaaaa ..
Naona Wachambuzi wanapata Kigugumizi Hapo kuelezea Ukweli Ulivyo [emoji23] Ndugu zangu Haya sio mashindano ya Ana Ana Doo kama ule mchongo wa Saudia ulivyokuwa …
Hii ni FIFA CLUB WORLD CUP .. Wachambuzi waambieni Watanzania Ukweli .. Msiishie Juu Juu tu kama Matandu ya Ubwabwa[emoji3]
Na nyie Makolo .. Hii nguvu mnayoitumia kuseti Watu mngeitumia kutafuta Kipa kwanza wa kubana miguu anapokutana na Waziri Jr ingewasaidia sana
Ayubu Nisameheeeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Wasemaji = Wachambaji.Ameandika @alikamwe
Tena Bila aibu .. Wameandika kwa Mbwembwe kabisa Eti Klabu 𝐙𝐢𝐧𝐚𝐳𝐨𝐰𝐚𝐧𝐢𝐚 kucheza Klabu Bingwa ya Dunia[emoji3] Wanawaniaje? Kimyaaaa ..
Naona Wachambuzi wanapata Kigugumizi Hapo kuelezea Ukweli Ulivyo [emoji23] Ndugu zangu Haya sio mashindano ya Ana Ana Doo kama ule mchongo wa Saudia ulivyokuwa …
Hii ni FIFA CLUB WORLD CUP .. Wachambuzi waambieni Watanzania Ukweli .. Msiishie Juu Juu tu kama Matandu ya Ubwabwa[emoji3]
Na nyie Makolo .. Hii nguvu mnayoitumia kuseti Watu mngeitumia kutafuta Kipa kwanza wa kubana miguu anapokutana na Waziri Jr ingewasaidia sana
Ayubu Nisameheeeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😅🤣 Kweli kabisa boss. Watu mnajua kufananisha!Kana Kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu.