na je sisi mashabiki wa mizagumuo?Kuna mtu akisema juz kuwa ukiweka mbali washabiki wa ccm, wanafuata kwa upumbavu ni washabikibwa mpira.
Unaona hii sasa..
Nadhan Kiboko ya Jiwe ndio alileta hii hoja
Nimetafakari sana hiki kituko!!Kuna mtu akisema juz kuwa ukiweka mbali washabiki wa ccm, wanafuata kwa upumbavu ni washabikibwa mpira.
Unaona hii sasa..
Nadhan Kiboko ya Jiwe ndio alileta hii hoja
Ile vinjuka tulikaza ila hii never! [emoji1787]Kwani bado hamjajipodoa huko vichwani mwenu mpaka leo?
Nini kinawachelewesha? msione aibu fanyeni hivyo muwe wazuri mjini.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Paka kwenye ZiVuKwamba ndio nipake rangi kichwani?
Jiheshimu uheshimiwe.We dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!!
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]
Nasubir nikuone getini 🤣🤣Wewe kolo tulia, kwani huko kwenu hamna hamasa kuelekea mechi yenu ya leo hadi udandie bleach zetu?
Mapema sanaaaa, uzuri mimi bleach ninayo kitambo 😂Nasubir nikuone getini 🤣🤣
Kaikoleze iwe kama ya diara Ile ya kipindi kile haijakolea umegusa gusa TU🤣🤣Mapema sanaaaa, uzuri mimi bleach ninayo kitambo 😂
Walikuwa na Kibu DAY wakala Mkono wa Nyani siku ile 5imba/11/2023Wewe kolo tulia, kwani huko kwenu hamna hamasa kuelekea mechi yenu ya leo hadi udandie bleach zetu?
Hata kama mambo mengine ni kufanyana kama wote kweli hatuna akili. Sisi Yanga wenye akili katika hili hapana. Pakeni nyie. Hamasa si hii hata kidogo.Wewe kolo tulia, kwani huko kwenu hamna hamasa kuelekea mechi yenu ya leo hadi udandie bleach zetu?
Acha ufala wewe mimi sio mdangaji 😂 😂Kaikoleze iwe kama ya diara Ile ya kipindi kile haijakolea umegusa gusa TU🤣🤣
Kwa hiyo wanaogopa?Walikuwa na Kibu DAY wakala Mkono wa Nyani siku ile 5imba/11/2023