MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
We dogo ulianza na vinjuka Aziz Ki day sisi na heshima zetu tukapiga vinjuka na vitambi mchomoko vyetu mtaani tukawa vituko!!
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]
Sasa tupake rangi vichwani kweli? Gharib atapaka? Au ni wale wale wala chapati pale kwenye jangwa pekee lenye mafuriko duniani?
Hili la blich hapana dogo, Kweli tufanane na Defao? ....[emoji1787]