Ali Karume Aanza Kampeni za Urais Zanzibar

Ali Karume Aanza Kampeni za Urais Zanzibar

URAIS WA ZANZIBAR A.K.A VIBARAKA WA KULINDA MAUWAJI YANAYOITWA MAPINDUZI 1964 NA UNYONYAJI,UKUPE,UKOLONI NA WIZI UNAOITWA MUUNGANO.
1. Amani A. Karume 2000-2010
2. Ali A.Karume 2010-2020
3. Ahmed A.A. Karume 2020-2030
4. Fatma A.A Karume 2030-2040(siku hizo watasema zamu ya mw'mke)
5. Mansour Yussuf Himid 2040-2050
6. Hussein Ali Hassan Mwinyi 2050-2060
7. M. H. Nassor Moyo 2060-2070
8. Amin Salmin Amour 2070-2080(huyu anaweza akabadilisha katiba aongeze muda)
9. Mustapha Aboud Jumbe 2080-..........
0..............................

.......................................
....................................
...................................
n.k kama watakuwa na watoto wao na wao watawarithisha.

This is so called Neo - sultanism
 
Hiki ni kipindi cha watu wa mujini, mambo ya Kaskazini, Kusini ama Kisiwa cha pili waendelee kusubiri tu...


Rais karume na timu yake wanamjuwa nani wanamtaka awe rais na sio vyenginevyo wabunge waliupata ujumbe wa SMZ wakati ule wa mapatanisho na kusalenda, timu ile kwa mara nyingine tena itatumia zana nzito safari hii la sihivyo wanarudi nyumbani na kitu kinachoitwa kisiwanduwi (ASP)kazi kwenu .
 
Kazi kweli kweli!!!! Naoa hata shemeji yetu DJ Mansoor naye anautaka urais. Niliwahi kusema, ndugu zangu wa CUF wasikubali CCM wakatumia mafuta kuwa karata yao ya kisiasa. Awali CUF ndio walikuwa wakipiga kelele kuhusu mafuta na hao hao SMZ ndio walikuwa wakimbeza Maalim Seif (rejeeni kampeni za uchaguzi).... sasa wameona hawana ajenda wala hoja wameibuka na mafuta na sasa unasikia mara Ali Karume na baadaye utasikia hata yale ya Salmin ya kutaka katiba ibadilishwe ama hata Muungano ufe ili Rais wetu aendelee!!!!!! he!!!! amkeni na musome alama za nyakati, CCM wanaaza kuiba kuanzia hoja, daftari na baadaye kura na kumalizia hata hesabu za kujumlisha na wakiona haitoshi wataiba hata utangazaji kwa maana utashinda wewe watatangaza yule!!!! Huu si utani, upo ushahidi wa yote haya.


Duh, Ungetuletea huo ushahidi ungetusaidia kweli!!!!
 
Yap wakati wa mjini ila sio baghani au shangani mjini n'gambo au sio kaka yangu kibunango
 
Ni haki ya kila mzanzibari mwenye sifa kugombea kwa hio mie naona hakuna tatizo juu ya hilo wanaopinga wana yao mengine

waamuzi ni wanachama kwa ngazi ya chama na wananchi kwa ngazi ya nchi
 
URAIS WA ZANZIBAR A.K.A VIBARAKA WA KULINDA MAUWAJI YANAYOITWA MAPINDUZI 1964 NA UNYONYAJI,UKUPE,UKOLONI NA WIZI UNAOITWA MUUNGANO.

7. M. H. Nassor Moyo 2060-2070
8. Amin Salmin Amour 2070-2080(huyu anaweza akabadilisha katiba aongeze muda)
9. Mustapha Aboud Jumbe 2080-..........
😀 😀
Haya!
 
Kwani Bi.Mkubwa keshatowa tamko, maana alilia siku ile kwa Mkapa mwanawe apewe kipindi kingine, sasa zamu ya Ali, je Bimkubwa atakwenda Bumbwini kwa wataalamu wake kuweka mambo sawa.
 
Huyu nitamfagilia kwa sababu mbili. Kwanza ni rafiki yangu na pili anataka kudumisha mwungano.
Kaka kweli demokrasia ipo mwache agombee, maana majority ndio watakaochangue.
Kibaya kama fedha ipo basi Dodoma wale wazee watagombea hayo mafungu na kumpitisha.
K. Gwamaka
 
9. Mustapha Aboud Jumbe 2080-..........
0..............................

.......................................
....................................
...................................
n.k kama watakuwa na watoto wao na wao watawarithisha.

This is so called Neo - sultanism

Mkuu Junius,
Mimi naona huyu ndie anaefaa kwa miaka kumi ijayo. Duru la kwanza limekwisha tumeshaanza na watoto na kwa sabau RAHISI wa pili alikuwa Jumbe yafaa mtoto wake achukue nji. Kisha mtoto wa mwinyi, halafu Idrisa na Kisha Salmin. Baada ya hao wanafuata watoto wa Aman, Mustapha and the list goes on mpaka kiama.
 
Mkuu Junius,
Mimi naona huyu ndie anaefaa kwa miaka kumi ijayo. Duru la kwanza limekwisha tumeshaanza na watoto na kwa sabau RAHISI wa pili alikuwa Jumbe yafaa mtoto wake achukue nji. Kisha mtoto wa mwinyi, halafu Idrisa na Kisha Salmin. Baada ya hao a watoto wa Aman, Mustapha and the list goes on mpaka kiama.
Jumbe? Kule Shakani, Buju na kona zote za tende lazima wataamdamana kupinga uteuzi wake.
 
Jumbe? Kule Shakani, Buju na kona zote za tende lazima wataamdamana kupinga uteuzi wake.

Katika desperation waliyonayo wanzibara kuhusu Muungano wako tayari kumchagua mtu yeyeyote atakayewaahidi kuwatoa katika "himaya ya mkoloni Tanganyika." Si ni Jumbe Senior aliyetaka kuhitimisha Muungamo?
 
Katika desperation waliyonayo wanzibara kuhusu Muungano wako tayari kumchagua mtu yeyeyote atakayewaahidi kuwatoa katika "himaya ya mkoloni Tanganyika." Si ni Jumbe Senior aliyetaka kuhitimisha Muungamo?
Tatizo si muungano kwa Jumbe, bali ni msimamo wake katika social life ya Zenj!
 
Back
Top Bottom