Tetesi: Ali Karume awekwa kwenye kona, atangazwa kuwa ana uraia wa Marekani

Tetesi: Ali Karume awekwa kwenye kona, atangazwa kuwa ana uraia wa Marekani

aleesha

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
798
Reaction score
1,178
Baada ya kugundulika kutaka kutumia jina la baba yake kuanzisha chama kipya Visiwani Zanzibar baada ya kuona nafasi ndogo kwake kuweza kugombea urasi wa Zanzibar 2020 sasa wanaharakati wa Balozi Seif Iddi wamesema Ali Karume atulie kwani watambomoa yeye sio Raia wa Tanzania wana data zote kutoka kwa marafiki zake aliokuwa akinywa nao Pombe huko marekani yeye alichukua uraia wa Marekani baada ya kuunganishiwa na rafiki zake mwanamke wa kimarekani kumfailia uraia wakati yupo Ujerumani alipokua Balozi , kila wakati aliamua kuja Marekani kwa likizo ili kuweza kupata uraia wa Marekani na ilibidi anunue nyumba mbili huko Jijini Potomac Marekani.

Aambiwa harakati zake za uraisi asahau hasa baada ya Dada yake kujiunga na CUF Mbele ya Maalim Seif , CCM wasema hawaimini tena familia ya Karume.
 
CCM kuna kipindi nilitofautiana nao sana. Wakanitafutia makosa na mapungufu kila kona lakini walishindwa kuambulia chochote kile mpaka wakahisi labda wana deal mzimu. Ndipo mmoja akapendekeza eti wanizushie kuwa Mimi natokea mbinguni, hivyo sipaswi kuaminiwa.... CCM bana.
 
CCM Luna kipindi nilitofautiana nao sana. Wakanitafutia makosa na mapungufu kila kona lakini walishindwa kuambulia chochote kile mpaka wakahisi wana deal mzimu. Ndipo mmoja akapendekeza eti wanizushie kuwa Mimi natokea mbinguni, hivyo sipaswi kuaminiwa.... CCM bana.
nge hongera mkuu
 
Duuuu...sasa za bongo nataka sana moyo na roho ngumu zaid ya paka.
 
Sio lazma wala hajandikwa familia ya karume wawe marais Zanzibar tunaweza kutoa familia yeyote ikawa rais zanzibar...


Ali karume unajua kama aliua enzi za baba yake??

jambo baya lile halisahau mpaka leo
 
Baada ya kugundulika kutaka kutumia jina la baba yake kuanzisha chama kipya Visiwani Zanzibar baada ya kuona nafasi ndogo kwake kuweza kugombea urasi wa Zanzibar 2020 sasa wanaharakati wa Balozi Seif Iddi wamesema Ali Karume atulie kwani watambomoa yeye sio Raia wa Tanzania wana data zote kutoka kwa marafiki zake aliokuwa akinywa nao Pombe huko marekani yeye alichukua uraia wa Marekani baada ya kuunganishiwa na rafiki zake mwanamke wa kimarekani kumfailia uraia wakati yupo Ujerumani alipokua Balozi , kila wakati aliamua kuja Marekani kwa likizo ili kuweza kupata uraia wa Marekani na ilibidi anunue nyumba mbili huko Jijini Potomac Marekani.

Aambiwa harakati zake za uraisi asahau hasa baada ya Dada yake kujiunga na CUF Mbele ya Maalim Seif , CCM wasema hawaimini tena familia ya Karume.

Wakongo ( zamani Wazaire ) husema azomataa azomatee wakimaanisha liwalo na liwe / potelea mbali / kama noma na iwe noma.
 
!
!
kuna kikundi fulani cha watu wako mahali huwa wanafikiri kwamba wao ndio wanastahili sana kutawala nchi hii.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Back
Top Bottom