Tetesi: Ali Karume awekwa kwenye kona, atangazwa kuwa ana uraia wa Marekani

Tetesi: Ali Karume awekwa kwenye kona, atangazwa kuwa ana uraia wa Marekani

CCM Luna kipindi nilitofautiana nao sana. Wakanitafutia makosa na mapungufu kila kona lakini walishindwa kuambulia chochote kile mpaka wakahisi wana deal mzimu. Ndipo mmoja akapendekeza eti wanizushie kuwa Mimi natokea mbinguni, hivyo sipaswi kuaminiwa.... CCM bana.


hahahahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
mbavu zangu mieeeeeeeeee
kumbe wewe mi ndugu yangu???
 
mh ma ccm haya ni shida!!miaka yote hiyo apivyokuwa balozi alikuwa balozi wa marekani nini?akiiwajioisha marekani ama?leo ametoka eti sio raia!!so mtu mpka anakuwa balozi wetu sehemu then anakuwa sio raia so anamwakilisha nani?hacheni kutufanya c wajinga!!
 
mh ma ccm haya ni shida!!miaka yote hiyo apivyokuwa balozi alikuwa balozi wa marekani nini?akiiwajioisha marekani ama?leo ametoka eti sio raia!!so mtu mpka anakuwa balozi wetu sehemu then anakuwa sio raia so anamwakilisha nani?hacheni kutufanya c wajinga!!
Pengine alikua hajachkua uraia bado. Izo skendo zao wanatufanya sote akili zetu Za samaki kama wao
 
CCM Luna kipindi nilitofautiana nao sana. Wakanitafutia makosa na mapungufu kila kona lakini walishindwa kuambulia chochote kile mpaka wakahisi wana deal mzimu. Ndipo mmoja akapendekeza eti wanizushie kuwa Mimi natokea mbinguni, hivyo sipaswi kuaminiwa.... CCM bana.
Mwongo utokaje mbinguni ?!
 
Baada ya kugundulika kutaka kutumia jina la baba yake kuanzisha chama kipya Visiwani Zanzibar baada ya kuona nafasi ndogo kwake kuweza kugombea urasi wa Zanzibar 2020 sasa wanaharakati wa Balozi Seif Iddi wamesema Ali Karume atulie kwani watambomoa yeye sio Raia wa Tanzania wana data zote kutoka kwa marafiki zake aliokuwa akinywa nao Pombe huko marekani yeye alichukua uraia wa Marekani baada ya kuunganishiwa na rafiki zake mwanamke wa kimarekani kumfailia uraia wakati yupo Ujerumani alipokua Balozi , kila wakati aliamua kuja Marekani kwa likizo ili kuweza kupata uraia wa Marekani na ilibidi anunue nyumba mbili huko Jijini Potomac Marekani.

Aambiwa harakati zake za uraisi asahau hasa baada ya Dada yake kujiunga na CUF Mbele ya Maalim Seif , CCM wasema hawaimini tena familia ya Karume.
Kwa hiyo kuna vita kati ya Balozi Karume na Balozi Iddi? Nilidhani katika familia ya Karume huyu ndo alikuwa CCM kindaki ndaki hadi kushauri kuwa katiba iseme "Raisi wa Zanzibar atokane na CCM tu". Amani sijui CCM inamuweka wapi. Dada yao ndio kaingia CUF na Fatma msimamo wake uko wazi. Je hii ni ishara ya CCM kuzidi kupoteza nguvu Zanzibar?
 
Kwa hiyo kuna vita kati ya Balozi Karume na Balozi Iddi? Nilidhani katika familia ya Karume huyu ndo alikuwa CCM kindaki ndaki hadi kushauri kuwa katiba iseme "Raisi wa Zanzibar atokane na CCM tu". Amani sijui CCM inamuweka wapi. Dada yao ndio kaingia CUF na Fatma msimamo wake uko wazi. Je hii ni ishara ya CCM kuzidi kupoteza nguvu Zanzibar?
CCM haipo kabisa huku ZNZ. Umebakia mitutu inayowaeka madarakani
 
Serukamba wanasema sio mtanzania ndio maana amejificha ccm ili asiitwe mnyarwanda.
 
"Wana data zote kutoka kwa marafiki zake aliokuwa akinywa nao POMBE huko Marekani" ......Hahahha,hapo habari imekwisha. Kitendo cha unywaji Pombe hakijawahi kumuacha mtu salama Zanzibari!
 
Baada ya kugundulika kutaka kutumia jina la baba yake kuanzisha chama kipya Visiwani Zanzibar baada ya kuona nafasi ndogo kwake kuweza kugombea urasi wa Zanzibar 2020 sasa wanaharakati wa Balozi Seif Iddi wamesema Ali Karume atulie kwani watambomoa yeye sio Raia wa Tanzania wana data zote kutoka kwa marafiki zake aliokuwa akinywa nao Pombe huko marekani yeye alichukua uraia wa Marekani baada ya kuunganishiwa na rafiki zake mwanamke wa kimarekani kumfailia uraia wakati yupo Ujerumani alipokua Balozi , kila wakati aliamua kuja Marekani kwa likizo ili kuweza kupata uraia wa Marekani na ilibidi anunue nyumba mbili huko Jijini Potomac Marekani.

Aambiwa harakati zake za uraisi asahau hasa baada ya Dada yake kujiunga na CUF Mbele ya Maalim Seif , CCM wasema hawaimini tena familia ya Karume.

yani uraia wa mtu unathibitishwa na kauli za kwenye pombe?

kweli tunaongozwa na MAJUHA
 
Back
Top Bottom