Ali Karume kugombea urais Zanzibar 2010

zanzibar hakuna mwingine(KWA MTIZAMO WA HARAKA HARAKA)....

au uniambie ungependa awe nani?
Wapo watu wengi sana katika Zanzibar labda ngoja waje nao na wengine wakina Shamuhuna, na Khatibu naye anafaa tu
 
ni kweli Karume Ally anayo haki ya kugombea lakini mi nadhani kwa busara tu asigombee ili isionekane kama urais wa Zenj ni ufalme wa hiyo familia, jee sisi wa familia za wakulima kule Ileje tutapata hata udiwani kweli???/
 
ni kweli Karume Ally anayo haki ya kugombea lakini mi nadhani kwa busara tu asigombee ili isionekane kama urais wa Zenj ni ufalme wa hiyo familia, jee sisi wa familia za wakulima kule Ileje tutapata hata udiwani kweli???/

Nyie kule Ileje mnatoka kidogo mpaka Mpemba pale unagomnea ujumbe wa nyumba kumi basi.
 
Mie kimtazamo wangu nadhani Ali Karume ni better off kuliko Amani Karume kwasababu ana misimamo ambapo zanzibar wanahitaji a firm leader. But the guy ana tatizo moja huyu kwanza ana kesi ya ubakaji zanzibar na kuondoa uhai wa binti moja kule zanzibar sasa hilo wazanzibari wana hasira nae maana Nyerere alipolijua hili alimpandisha meli akamleta dar akampandisha ndege akakae nje!!!. Hajawahi kufikishwa kizimbani kujibu tuhuma. Sasa kama rais ana historia hiyo unadhani kuna mtu atataka kumpa kura yake?

Pili kutokana na hilo blunder the guy amekaa ulaya miaka mingi sana hajui lolote kuhusu zanzibar wala hana experience yeyote ya zanzibar. Sasa anaweza kuja kuchaguliwa akaboza tu anaendeshwa ilhali hajui linaloendelea. Hili ni kikwazo.

Tatu kwa wanaomjua wanasema ni kiongozi fulani hapendi kusikiliza la mtu kama marehemu baba yake (yaani hashauriki) hili litamwia ngumu kwani utawala wa ubabe kama baba yake ushakufa zamani watamwangusha hata miezi sita kufika kama akichaguliwa.
 
Vipi Dr Hussein Mwinyi?

Mwinyi mtu fresh ila tatizo unajua Zanzibar kuna siasa za majimbo Salmin ni mtu wa Kusini, Amani ni mtu wa kaskazini na Mwinyi ni mtu wa kaskazini sasa hilo litakuwa kikwazo kwake Zanzibar maana akina Gharib Bilal na kundi lake wanaona ni haki yao na zamu yao kushika hatamu patakuwa patamu hapo.

Mie navyoona watoe mtu kutoka Pemba CCM kwasababu itawasaidia kupata support Pemba na pia kuondoa makundi zanzibar.
 
Familia ya Karume, Mwinyi na by the time 2015 inafika Ridhwan atakuwa tayari!!! Maskni Tanzania...
 
Dynasty Rock-la-Famila... it was a big album.. hii ongeza II mwishoni ndio siasa za Znz.. Lakini ni Bilal ama mwinyi naona.. Eti jamani?
 
Asante, hii ni haki yake kikatiba na lazima iheshimiwe.
 
Tatu kwa wanaomjua wanasema ni kiongozi fulani hapendi kusikiliza la mtu kama marehemu baba yake (yaani hashauriki) hili litamwia ngumu kwani utawala wa ubabe kama baba yake ushakufa zamani watamwangusha hata miezi sita kufika kama akichaguliwa.
.
Kwa wanaojua mambo ya ndani kabisa, sio jikoni tuu, mpaka uvunguni, huyu ndiye Karume kweli, mwenzake ni jina tuu!.
 
.
Kwa wanaojua mambo ya ndani kabisa, sio jikoni tuu, mpaka uvunguni, huyu ndiye Karume kweli, mwenzake ni jina tuu!.
wacha bwana!...lol😀
 
Hivi hawa jamaa wanafikiri bado wako kwenye enzi za usultani kwamba wawe wanaachiana madaraka tu wao kwa wao or do they think that they are better than others? So they want to monopolize presidential chair. Waache **8'''''''** CCM wakikubali hili basi wajue CCJ na CUF watachukua nchi kialaiiiini. HII nchi siyo ya ukoo akome kabisa.
 

Wazanzibari wanaamini Mwinyi+Karume sio wanzanzibari, Salmini ndo anaonekana kama ndio mzanzibari halisi Mwinyi wanadai ni mtu wa kisarawe, karume malawi, huyu karume Ali hawamfahamu saana kwani hajakaa sana huko ila kuna kundi linaamini jamaa anamsimamo na anaweza wanasua na jinamizi la Muungano ila kashfa ya ubakaji na mauwaji bado ipo kwenye kumbukumbu za walio wengi na ukumbuke hawa wanzanibar wanauhusiano wa karibu mno tena ule wa damu so usishangae ali akakosa nafasi ya kuridhi kiti cha ufalme kutokana na hiyo kadhia aliyotenda miaka hiyo
 

CCM! CCM! Kweli ni kiboko hata vichaa mumewavisha suti na wakakubali!
 
Hivi hao wakina Karume, uongozi wa Zanzibar wanaachiwa au wanagombea kwenye chama then uchaguzi mkuu wanashinda??

Mbona mnaogopa vivuli vyenu??!!!
 
Hawa sasa wanataka kugeuza Zenji ni ya kwao sasa
 
Imekua ni Royal ZNZ. Swali ni, hawa wakina Karume wawili wamefanya nini? Umaskin mtupu. Hawana jipya.
 
naomba msaada kwa aliye nje ya nchi i feel lyk leaving the country
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…