Wazanzibari wanaamini Mwinyi+Karume sio wanzanzibari, Salmini ndo anaonekana kama ndio mzanzibari halisi Mwinyi wanadai ni mtu wa kisarawe, karume malawi, huyu karume Ali hawamfahamu saana kwani hajakaa sana huko ila kuna kundi linaamini jamaa anamsimamo na anaweza wanasua na jinamizi la Muungano ila kashfa ya ubakaji na mauwaji bado ipo kwenye kumbukumbu za walio wengi na ukumbuke hawa wanzanibar wanauhusiano wa karibu mno tena ule wa damu so usishangae ali akakosa nafasi ya kuridhi kiti cha ufalme kutokana na hiyo kadhia aliyotenda miaka hiyo