Ali Kiba aamua kuachana na soka na kuamua kuwa mwana Masumbwi (Boxer)

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Jamaa Ali Kiba anahangaika sana ,halafu kila anachofanya anafeli tu.

Mziki kafeli, mpira kafeli naona kageukia kwenye boxing ,ngoja tuone mwisho wake.

 
Uzeee unamsumbuwa chibu kamuamsha kiba sasa ivi angekuwa yupo na chid benz
 
Ajitahidi akatuletee medali kwenye Olympics.
 
Huyu c ndo yule aliepost cjui beef la hamisa mobeto na mange ... Huyu jamaa shosti kabisaa

Nshatuma jina lako kwa RC
nliposoma tu thread nkakimbilia kuangalia ID 🆔 ya mtu alie post, jamaa kila nyuzi udaku alaf uongo. Nna wasiwasi ikiwezekana tupeleke Jina kwa RC.
 
Jamaa Ali Kiba anahangaika sana ,halafu kila anachofanya anafeli tu.

Mziki kafeli, mpira kafeli naona kageukia kwenye boxing ,ngoja tuone mwisho wake.

View attachment 917746
Kwa sisi tuliopitia hizi mambo za boxing,kwa mkao huo na muonekano wa Kiba kwenye pic tunajua kabisa jamaa bado sana labda kama anajifurahisha,huwezi kurusha punch wakat body haiko straigh,umeinama na hiyo mikono ikiwa umeiachia hujaguard mbavu,kifua na uso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…