Ali Kiba aamua kuachana na soka na kuamua kuwa mwana Masumbwi (Boxer)

Ali Kiba aamua kuachana na soka na kuamua kuwa mwana Masumbwi (Boxer)

Soon tutamuona kwenye cricket
Syo mbaya kujaribu

Ova
 
Kwa sisi tuliopitia hizi mambo za boxing,kwa mkao huo na muonekano wa Kiba kwenye pic tunajua kabisa jamaa bado sana labda kama anajifurahisha,huwezi kurusha punch wakat body haiko straigh,umeinama na hiyo mikono ikiwa umeiachia hujaguard mbavu,kifua na uso
Fact,

Ila ukisoma caption, kaandika some times anajifurahisha huyo.

Labda. Ataka kwenda MMA
 
Kwaio kesho tukimuona uncle magu Yuko gym anarusha ngumi mbili tatu tutasema ameacha u-CIC Nakuamua kuingia kwenye masumbwi?
 
Kwa sisi tuliopitia hizi mambo za boxing,kwa mkao huo na muonekano wa Kiba kwenye pic tunajua kabisa jamaa bado sana labda kama anajifurahisha,huwezi kurusha punch wakat body haiko straigh,umeinama na hiyo mikono ikiwa umeiachia hujaguard mbavu,kifua na uso
Bro ulikuwa Body Guard wa Litingi na ushirika nini enzi hizo .? Na Blanitaya[emoji2][emoji2]
 
Jamaa Ali Kiba anahangaika sana ,halafu kila anachofanya anafeli tu.

Mziki kafeli, mpira kafeli naona kageukia kwenye boxing ,ngoja tuone mwisho wake.

View attachment 917746
Hajashindwa muziki alitaka tu mke basi alipopata akaona basi .
Hajaoa kilaza kwanza kaoa hela so yanini kuimba kwanza hafanyi vitu kama kazi anajifurahisha tu.
Anamuonyesha bibie yeye anaweza.
 
Back
Top Bottom