Ali Kiba aamua kuachana na soka na kuamua kuwa mwana Masumbwi (Boxer)

Soon tutamuona kwenye cricket
Syo mbaya kujaribu

Ova
 
Fact,

Ila ukisoma caption, kaandika some times anajifurahisha huyo.

Labda. Ataka kwenda MMA
 
Kwaio kesho tukimuona uncle magu Yuko gym anarusha ngumi mbili tatu tutasema ameacha u-CIC Nakuamua kuingia kwenye masumbwi?
 
Bro ulikuwa Body Guard wa Litingi na ushirika nini enzi hizo .? Na Blanitaya[emoji2][emoji2]
 
Jamaa Ali Kiba anahangaika sana ,halafu kila anachofanya anafeli tu.

Mziki kafeli, mpira kafeli naona kageukia kwenye boxing ,ngoja tuone mwisho wake.

View attachment 917746
Hajashindwa muziki alitaka tu mke basi alipopata akaona basi .
Hajaoa kilaza kwanza kaoa hela so yanini kuimba kwanza hafanyi vitu kama kazi anajifurahisha tu.
Anamuonyesha bibie yeye anaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…