Mkuu acha upuuz, Utamfananisha vipi Kingkiba mfalme wa bongoflava na huyo wizkid mtoto wa juzi, rafudhi mbovu, Nataka nikwambie kitu, Africa kwa sasa hakuna anayeweza kugusa mziki wa King, wanaijeria wanajivunia kingereza tu ila kiukwel mziki wao utumbo mtupu.