Ali Kiba achaguliwa kuwania tuzo za Mtv Ema

😡😡😡😡 acha Usengelema bac mkuu.
Unamfananishaje msanii ambaye nusu ya mastar wakubwa duniani wanaomba kolabo nae na msanii anaefanya colambo na akina nuh mziwanda?

hiv alikiba akiwa mfalme vip kuhusu akina q cheaf? Vp akina sugu afande mh prf jey na neture?
 
Mkuu hana uwezo huo kwa sasa, si umeona sahivi anaimba nyimbo za kipimbi sijui salome mara mbuzi wa kutaga sasa ataingiaje hapo.
Mkuu tafadhal mi ni shabiki wa mond ila nataka kumpa kura yangu kiba kwa kuwa anawania sasa usinitukanie mtu wangu tafadhali oh nitaahirisha haha haha
 


Oya shakiti bobo
O fe ra bentley bo bo
O fe ra ferrari bobo
Fly you to paris bo bo
Oya shakiti bobo
O fe ra bentley bo bo
O fe ra ferrari bobo
Fly you to paris bo bo

Nishafanya yangu...
Sitakagi ujinga wa kumfananisha Olamide na mambo ya kipyumbavu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…