makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,620
- 5,260
😡😡😡😡 acha Usengelema bac mkuu.Mkuu acha upuuz, Utamfananisha vipi Kingkiba mfalme wa bongoflava na huyo wizkid mtoto wa juzi, rafudhi mbovu, Nataka nikwambie kitu, Africa kwa sasa hakuna anayeweza kugusa mziki wa King, wanaijeria wanajivunia kingereza tu ila kiukwel mziki wao utumbo mtupu.
Unamfananishaje msanii ambaye nusu ya mastar wakubwa duniani wanaomba kolabo nae na msanii anaefanya colambo na akina nuh mziwanda?
hiv alikiba akiwa mfalme vip kuhusu akina q cheaf? Vp akina sugu afande mh prf jey na neture?