Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu kabisa.Kwahyo alikiba naye amehonga ili awe nominated?? Kweli akiba ya maneno ni muhimu
Hakuna haja ya haya yote, huwa tunaacha muda ufanye kazi.Nitampigia kura Cassper Nyovest
Vote for cassper
Vote for wiz kid
Vote for olamide
Vote for black coffee
Kiba kaaanza mziki kabla ya Diamond n ajabu sana kuona anawania tuzo aliokwisha ichukua dmond kwa ngebe na maneno mengi.....hafiki popoteMsanii wa Kimataifa kutokea Tanzania, Alikiba maarufu kama Kingkiba, Leo ametajwa kwenye nominations za tuzo kubwa dunia za Mtv Europe Music awards (MTVEMA) katika category ya BEST AFRICAN ACT, Alikiba ni msanii pekee kutokea East Africa huku akiungana na miamba mingine ya mziki kutoka Nigeria na south Africa kama ifuatavyo
Best African Act
Alikiba - Tanzania
Wizkid - Nigeria
Black coffee - South Africa
Casper nyovest- South Africa
Olamide - Nigeria
Haya ni mageuzi makubwa ya kimziki wa bongoflava, hasa ukizingatia Alikiba anaimba bongoflava halisi isiyo na chembe ya unaijeria.
Congratulations [HASHTAG]#Kingkiba[/HASHTAG]
BongoFlava to the World
[HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] [HASHTAG]#Rockstar4000[/HASHTAG] Yooooooh
Haaah hawa jamaa walichotufanyia mwaka jana daah hadi nikawa na kesha ku vote [emoji17]Hakuna haja ya haya yote, huwa tunaacha muda ufanye kazi.
Mungu anawaona [emoji23].Haaah hawa jamaa walichotufanyia mwaka jana daah hadi nikawa na kesha ku vote [emoji17]
mnamkuza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msanii wa Kimataifa kutokea Tanzania, Alikiba maarufu kama Kingkiba, Leo ametajwa kwenye nominations za tuzo kubwa dunia za Mtv Europe Music awards (MTVEMA) katika category ya BEST AFRICAN ACT, Alikiba ni msanii pekee kutokea East Africa huku akiungana na miamba mingine ya mziki kutoka Nigeria na south Africa kama ifuatavyo
Best African Act
Alikiba - Tanzania
Wizkid - Nigeria
Black coffee - South Africa
Casper nyovest- South Africa
Olamide - Nigeria
Haya ni mageuzi makubwa ya kimziki wa bongoflava, hasa ukizingatia Alikiba anaimba bongoflava halisi isiyo na chembe ya unaijeria.
Congratulations [HASHTAG]#Kingkiba[/HASHTAG]
BongoFlava to the World
[HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] [HASHTAG]#Rockstar4000[/HASHTAG] Yooooooh
HahahahahahhahNitampigia kura Cassper Nyovest
Vote for cassper
Vote for wiz kid
Vote for olamide
Vote for black coffee
Uwiiiiii wakimataifa hahahahhamnamkuza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
eti kila siku wakimataifa..
kwani mkisema wa mchangani atapungua sauti[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Wewe sio mfuatiliaji wa muziki si bongo wala Africa, maana ungekuwa UNAJUA KUWA OMMY DIMPOZ AU VANESSA MDEE WAMEKUWA NOMINIIZI MARA NYINGI SANA ZAIDI YA HUYO KIBA,LAKINI DIMPOZ HUYO HAPO HANA LOLOTE. LAKINI TOFAUTI YAO WAO NA DIAMOND NI KUZICHUKUA HIZO TUZO MARA KWA MARA.
![]()
View attachment 407852
Diamond kipindi hiki hana kipengele anacjowania kwani
Huo wimbo wenye sentensi 'mbuzi wa kutaga' ndio ilimpa tuzo ya mtv ema kwa africa na worldwide...!! we vote tu kwa kiba maneno mengi acha mkuuMkuu hana uwezo huo kwa sasa, si umeona sahivi anaimba nyimbo za kipimbi sijui salome mara mbuzi wa kutaga sasa ataingiaje hapo.