Ali Kiba ahojiwa kifo cha Kanumba

Ali Kiba ahojiwa kifo cha Kanumba

Uzi wa 2012 ushafukuliwa...haya sasa let's move on
 
Kufukua makaburi hakujawahi kumuacha mtu salama
 
kim habari nono hii. sasa mbona maelezo ya LULU ni tofauti na yale yaliyosemwa mwanzo kuwa ni simu ilipigwa na lulu akaipokea akiwa nje, hivyo Kanumba akakasirika? sasa iliambiwa ni wivu wa mapenzi na hapa tunaambiwa ni outing, jamani haya mambo yataibua mengi. anglia na hao mashujaa band watakuwemo huko.

huyu Ali kiba nayeye alimpeleka wapi? nyumbani kwa akina lulu au alimpeleka kwake (nyumbani kwa ali kiba) na lulu alikamatwa wapi akiwa anafanya nini na nani? naomba nijibiwe haya maswali manake nashindwa kupata connection.
Na ukijua itakusaidia nini, hata kama walienda kubanduana wewe unapoteza nini?!
Jambo likiwa kwa court mnakausha kidogo.
 
Alivyoanguka chini, Ali Kiba ndio alimziba pua Kanumba mpaka akakata pumzi.
 
Back
Top Bottom