Ali Kiba ahujumiwa tuzo za Afrimma. siri yafichuka

' A rose by any other name remains just as sweet'
 
wewe ile kaswida ya AJE unaifananisha na AIYOLA au BADO? harmonize na diamond wametoa ngoma kali mwaka huu haki yao kupokea tuzo.....huyo kibakuli ajoin WCB tu hakuna namna, nakifimbo chake cha uchawi
 

Una hoja nzuri ilaumeharibu ulipoanza kuingiza majungu, Pia naona hujui role anayoplay huyo dmk, inshort huyo jamaa ni meneja wa WCB USA, Ndiyo huwa pia anapewa power ya kuamua wasanii gani waperfom, nenda kaone tayar harmonize kaitwa kurfom huu kama sio ushenzi ni nini? Alaf bado mnasema kuna free competition, watu wanatumia jina la kiba kuandaa tuzo kumbe majina ya washindi wanayo mfukoni, nimewashawasiliana na kiba, tunapiga stop hawa wapuuzi kutumia tena jina lake kwenye vituzo uchwara,
 
acha ujinga wewe ile kaswida ya AJE unaifananisha na AIYOLA au BADO? harmonize na diamond wametoa ngoma kali mwaka huu haki yao kupokea tuzo.....huyo kibakuli ajoin WCB tu hakuna namna, nakifimbo chake cha uchawi

Wewe kwel hujielew, hivi mwaka huu kuna nyimbo kweli ya kuifananisha na Aje ikiyoweza kutoboa miamba migumu na kubreak records itunes hadi oman, kukaa kwenye charts za kitamataifa kwa miezi dahar, kweli unajielewa ww au hii post uneandikiwa, acha kufananisha Aje na mambo ya kipuuzi
 

Mkuu nilishakueleza kwenye post yangu ya kwanza kuwa DMK ni meneja wa Diamond (WCB)kwa USA na pia ni promota wa matamasha.!

Kazi ya meneja ni kumtafutia msanii wake fursa, na jamaa ana connection katika industry ya entertainment huko US ndio maana kila kukicha Diamond shoo za US hazikauki.!
Nashangaa unaposema Harmonize kupata fursa ya kuperfom kwenye tuzo za AEUS ati ni 'ushenzi'! Daaaahh siamini kama kuna mtanzania mzalendo anaweza kuwaza kama wewe.. Yani kijana mwenzako, mtanzania mwenzako kupata fursa ya kukuza sanaa yake na kuingiza kipato wewe roho inakuuma hivyo mpaka unaita 'ushenzi'.! Mkuu hiyo ni chuki iliyopitiliza, kuna tatizo gani dogo Harmonize akitumbuiza kwenye Tuzo za AEUSA, Kiba anapungukiwa nini Harmonize akiperform?? Aisee hii ni chuki iliyokithiri.. Alafu unasema wewe ni mtu wa karibu na Kiba, kama ni kweli sishangai kwanini kila siku anaendelea kuhustle kama underground.. Hana washauri!!

Hivi na ile tuzo ya MTV Ema akiikosa mtamlaumu nani??
Umejiuliza kwanini Kiba hajapata hata nomination moja tuzo za MTV MAMA??? Yani hata Rayvany amepata nomination lakini Kiba sufuri?? Umejiuliza kwanini??
 
mkuu usihangaike nae huyo! kwa mtu muelewa huwezi kusema ushenzi kwa mafanikio ya mtanzania mwenzio!
ndio huyu aliyekuwa anapiga kampeni ya vote for davido badala ya plutnumz
 
mtachonga sana mwaka huu aisee aje huwezi kuifananisha na salome au kidogodogo...aje ni kaswida na haieleweki
 
Apo tu ndio mtunzi unavhemka kutaka platnumz ashuke

He is not stoping soon....

Usiwe unakaa karbu na vitu hatarishi kama sumu,visu kamba hasa hasa jmosi baada ya MTV....
Sitaki upotee mtu wang wa nguvu........

*They walk where we passed already*
 
Hakuna tofauti ya Chadema na Alikiba yani ni kulalama tuuu
Sidhani kama vigezo pekee za hizo tuzo ni kura pekee.
Halafu kweli unahitaji kuwa na akili nyingi kuwa kwenye hiyo category Kiba asingeliweza kumshinda Diamond?
Hivi unahitaji kuwa mtaalam sana kujua kuwa Diamond ni zaidi ya Alikiba.

Sasa nimeanza kuamini Kiba na mashabiki wake wana matatizo ya kisaikolojia
 
Afrimma na eausa zilikuwepo hata kabla kiba hajarudi kwenye gemu.
Ukisema wanatumia jina la alikiba ni kujidanganya
 
Aje imetoboa wapi? acha kujidanganya aje ni nyimbo maarafu tanzania na kenya , hapo Uganda kwenye haina umaarufu
Juzi alikiba anasema mkubwa kuliko Wizkid wanaijeria wanauliza alikiba ndo nani
Ngoja akaperform aje kule mtv mama uone kama umepenya
 
ETI WANATUMIA JINA LA KIBA!
hivi unafkir we ulivyojaza mipicha ya kiba chumbnai kwako mpka bafuni mpk jikoni ndo unadhani Kiba is any of tht importance kwa watu na akili zao?
YANI UNAANDIKA KAMA UMEPAKA UPUPU VIDOLENI!
hebu tuondoleee vumba hapa!
psyuuuuuuuuu!
 

Eti kiba hajapata nomination hata moja mtvmama, hivi wewe umelewa viroba au? Best collaboration n song of the year

Mbali tu na mtvmama, jua kiba yupo nominated mtvema tuzo kubwa duniani kuliko hivyo viafrimma vyenu, ndiomana Olamide alisema anaona fahari kuwa nominated MTVEMA kuliko tuzo nyingine yeyote mwaka huu.

kama hujui MTVEMA ni kitu gani, kawaulize mabos wako , yani kiafrica hakuna msanii asiyetaman MTVEMA na BET, take it in your mind usije ukachekwa bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…