Ali Kiba ahujumiwa tuzo za Afrimma. siri yafichuka

Mkuu hakuna anayelipwa, mi nasimamia ukweli

husimamii ukweli wewe acha unafiki,upo kishabiki zaidi,kwa akili yako kiba anamzidi mondi??,nitakuwa wa mwisho kukubali,labda umlinganishe na kina hamornize huko sio mondi,hawapo level moja kabisa mkuu,hakika nakuambia
 
Views za you tube zina maana kubwa sana hasa kwenye ulimwengu wa burudani (entertainment)...tatizo lako huna hata hoja.
 
Nyie endeleeni tu kumharibu huyo kiba.Badala ya kumwambie ukweli mnamnafikia.
 
Tatizo kiba anafanya mziki kwa pressure, mwambieni atulie alete vitu kama kipindi cha nyuma
 
Alikiba atapata tuzo ya Afrimma ya majungu na masufuria ...kila cku mtoto wa kiume unalalamika mara wananunua tuzo mara wameiba kura.manina zke nae anunue si anapata pesa au anafanya mziki wa charity
 
Mm ningemshauri kiba kuwa yy ni msanii mzuri kuliko diamond japo naye diamond ni mzur kuliko kiba kila m2 kwa sehem yake sasa kiba achana na lawama ndg na kuendesha kazi yako kihisia fanya kaz uwezo unao fanya kama vile hawakuangalii vile na utafanikiwa hatakama c leo sas aukilalamika hivo mzee malalamiko yanakufanya uonekane kuwa kuna mahali kuna shida upande wako ......
Hacha kuhisihisi broo do work ni mwanamziki mzur sana maana nyimbo zako unatunga straight from ur heart na c business music na wapo wachache sana wa namna hiyo
 
Alisema yeye ni zaidi ya wizkid
Usijali jamaa yangu hata mimi iliniuma sana baada ya kuona hzi leak photos ukiangalia hapo utaona grafu ya alikiba iko juu kuliko ya diamond huu ni ushaidi wa kwanza
Ushaidi wa pili tena vote au polls count inasoma alikiba ni mshindi kama inavoonekana picha nyingine hyo ikionyesha polls count.. By the way sina team napenda mziki mzuri nashukuru kwa kuwa tuzo imerudi nyumban
 
Ngoja nikusaidie kuupload hzo appo ndo ushaidi
Wa kwanza angalia bar graph ya ali ilivojuu ushaidi wa pili angalia polls counter inasoma kura nyingi za ally ni hayo tyu
 
Hizi figisufigisu kuna siku zitafika mwisho tu.
 
aaaaah jamaniii.. kiba yuko vzur ila kwa akili ya kawaida tu mshindi afrimma ni halali kabisaa
 
Ngoja nikusaidie kuupload hzo appo ndo ushaidi
Wa kwanza angalia bar graph ya ali ilivojuuView attachment 420548 ushaidi wa pili angalia polls counter inasoma kura nyingi za allyView attachment 420549 ni hayo tyu
Can you guys prove the authentic ya izi picha beyond reasonable doubt kua ni za Afrima...maana mtu yoyote mwenye idea ya microsoft excel anaweza kutengeneza izo graph na kusema ni za Afrima...dhibitisheni kua izo ndizo sio mapicha picha ya graph ambazo ht secretary wangu anaweza tengeneza...
 
Poor presentation nlitegemea uweke na evidence za kutosha kama idadi ya kura za washiriki miksa mchakato wa uchakachuzi ulivohappen nawe umekuja na siasa zako kama ilivo ada ya nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…