kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Ule usiku ulio kuwa Una suburiwa kwa hamu kubwa na wa afrika wote umekaribia nazo ni tunzo za afrima awards zitakazofanyika Lagos, Nigeria jumapili hii ya tarehe 15.11.2015 wasanii watakaoshiriki na kuperform katika izo tunzo wote wanaelekea Nigeria na wengine washafika Kama diamond, busiswa, darey, kiss Daniel, Yemi alade, na davido uku cassper nyovest na aka wao bado wana board plane mda huu.
Nae msanii kiba amekacha kuudhuria shoo iyo kwa madai ya kuwa atakuwa na shoo Kenya wakati mwanzo alikubali atakuwepo na ela advance Kala ndo aliotegenezea video ya nagharamikia na ikatoka mbaya ikabidii ianze Ku directiwa tena.
Nae msanii kiba amekacha kuudhuria shoo iyo kwa madai ya kuwa atakuwa na shoo Kenya wakati mwanzo alikubali atakuwepo na ela advance Kala ndo aliotegenezea video ya nagharamikia na ikatoka mbaya ikabidii ianze Ku directiwa tena.