Ali Kiba ana cha kujifunza kwa Wizkid na Diamond, sanaa sio uadui

Ali Kiba ana cha kujifunza kwa Wizkid na Diamond, sanaa sio uadui

Kwani ni lazima Alikiba kushiriki kwenye hilo Tamasha? Yaani watu mnashangaza sana!
kutoshiriki kwake hakujaathiri lolote la msingi aache ushamba wa kujiona yeye ndiye anaweza kulikp wengine.
Kiba ana eagle anakunja sana Simba alivyo wa ajabu ngoma zake anagonga kama kawaida.

Amefosi bifu mseleleko eeeeh tumemkwepa amebaki masononeko eeeeeh tunamcheka😝😝😝
 
Screenshot_20191110-092329.png
Screenshot_20191110-092329.png
 
kutoshiriki kwake hakujaathiri lolote la msingi aache ushamba wa kujiona yeye ndiye anaweza kulikp wengine.
Kiba ana eagle anakunja sana Simba alivyo wa ajabu ngoma zake anagonga kama kawaida.

Amefosi bifu mseleleko eeeeh tumemkwepa amebaki masononeko eeeeeh tunamcheka[emoji13][emoji13][emoji13]
sasa kama hajaathiri kitu si muendelee na bata bi sandra tatizo nini kutaka watu wote wasipumue??

eti kafosi bifu!nani kaanza kumtaja mwenzie?
 
sasa kama hajaathiri kitu si muendelee na bata bi sandra tatizo nini kutaka watu wote wasipumue??

eti kafosi bifu!nani kaanza kumtaja mwenzie?
Mondi alisema hata Alikiba aje maana haya mabifu bifu yanauwa muziki wala hakumsema kiubaya.

Sasa kiba100 alivyo na eagle akaandika majungu hajawahi pata likes na comments nyingi vile babaako wewe
 
Kwani ni lazima Alikiba kushiriki kwenye hilo Tamasha? Yaani watu mnashangaza sana!
Amtumie Mondi walau apate pesa. Anakoelekea ni karibu zaidi y atokako n bado hasomeki.
Mondi hujishusha ila yeye anajiona baba lao.
 
Back
Top Bottom