Hum B
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,045
- 1,468
Haha Anamanisha ego mkuuEagle=tai ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha Anamanisha ego mkuuEagle=tai ndege
Hao million 4 hata mbea Sudy brown anao na sio wote wako active IG.kama comment zimetoka kwa mond sawa.
unadhani follower 4mln wa waliisha wote mpaka akaenda kuchukua wa mond waje wacoment??
Wewe unawashwa sana.Eagle=tai ndege
Kwasababu anapenda watu wa Mombasa sanaKenya walmzimia maik sababu ya nini vilee!
Acha kuteseka dada kwani kiba Nani yako?Mbona kama mnamuhitaji sana Kiba?
Mnasema amefeli lakini kutwa yupo midomoni mwenu mnataka awaoe??
Mngejaribu tu kufatilia maelezo aliyoyatoa juzi kwenye press yake amesema wazi kuwa anapongeza achievements za diamond ila hawezi kushiriki tamasha lake kwasababu na yeye muda huu ana anachiements zake anakimbizana nazo.
Kwa mfano Burna boi akija kupanda jukwaa la Fiesta Grand Finale pia ni lazima Diamond naye akiitwa akubali kwenda kwasababu tu kuna msanii mkuwa wa Nigeria kwenye hilo jukwaa la Fiesta?
Say ego/kujivuna and not eagle/ndege taikutoshiriki kwake hakujaathiri lolote la msingi aache ushamba wa kujiona yeye ndiye anaweza kulikp wengine.
Kiba ana eagle anakunja sana Simba alivyo wa ajabu ngoma zake anagonga kama kawaida.
Amefosi bifu mseleleko eeeeh tumemkwepa amebaki masononeko eeeeeh tunamcheka[emoji13][emoji13][emoji13]
Ulivyoandika eagle (ego) hapo ndipo tofauti ya fans wa Kiba na Domo...Kiba washua na Domo nyie wanyoa vidukukutoshiriki kwake hakujaathiri lolote la msingi aache ushamba wa kujiona yeye ndiye anaweza kulikp wengine.
Kiba ana eagle anakunja sana Simba alivyo wa ajabu ngoma zake anagonga kama kawaida.
Amefosi bifu mseleleko eeeeh tumemkwepa amebaki masononeko eeeeeh tunamcheka😝😝😝
aisee kahiyo coments zilifika milioni kumi na ngapi?Hao million 4 hata mbea Sudy brown anao na sio wote wako active IG.
Ila followers wengi wa mondi wakp active ndio maana alioga mapovu sanaaa despite nusu ya followers wa mondi wamemfolow kiba na robo tatu ya waliomfollow kiba wamemfollow Simba
Wewe unawashwa sana.
Nimekuomba tafsiri ya Eagle?
That was actually what i meant na sio ego kama unavyodhani fatilia tabia za eagle zikoje kama huwa hakunji
True mkuu jamaa yuko poa sana.Anakwenda bila shida tena kuna uwezekano asiwadai hata thumni
Mwaka jana alifanya show ya fiesta na davido.
NonsenseAibu
😕😕😕aisee kahiyo coments zilifika milioni kumi na ngapi?
Sasa unadhani nilikusudia kuandika ego?Ulivyoandika aegle (ego) hapo ndipo tofauti ya fans wa Kiba na Domo...Kiba washua na Domo nyie wanyoa viduku
I meant eagle not ego.Say ego/kujivuna and not eagle/ndege tai
Sasa unadhani nilikusudia kuandika ego?
Kibamia aka kibakuli boya tu kujieleza halijui muziki halijui limekalia kibuli tu babaako mtakula jeuri yenu.
Hapo unajikuta msoooomi huna lolote unalomiliki kapuku mkubwa
Kiba ni kaka angu vipi na wewe Mondi ni mumeo??Acha kuteseka dada kwani kiba Nani yako?
Na ndio ninachowaambia hawa walamba midomo.... kama Kiba hana kitu why kutwa kumlinganisha na boss wao??Unahadhirika wewe mrembo
Na Mond anawapenda nyie warembo na kujiita 'sukari ya warembo'
Fact kuwa unamwongelea Kiba, maana yake ana kitu
Why hauwataji wengine? Kama hana hela kaja kukuomba? We unazo ngapi hata kiingereza haujui?
Kiba kakutawala, umekuwa mtumwa wa Kiba bila kujijua, mtu ukimwaza, ukamsema, ukamjadili ujue amekutawala.period