kajengwa makunduch
Senior Member
- Sep 28, 2019
- 108
- 200
Amina.Akili fupi inataka kiki. Akili ndefu inataka pesa
kutoshiriki kwake hakujaathiri lolote la msingi aache ushamba wa kujiona yeye ndiye anaweza kulikp wengine.Kwani ni lazima Alikiba kushiriki kwenye hilo Tamasha? Yaani watu mnashangaza sana!
Kwa hiyo kibamia ni mkubwa kuliko wizkid ndio maana anaringa tamasha limetazamwa afrika zima vyombo vikubwa vimelilipoti .eti nataka mafanikio yang binafsi ache undezKwani ni lazima Alikiba kushiriki kwenye hilo Tamasha? Yaani watu mnashangaza sana!
Mdogo Wang ally kiba acha uzazwa umoja ni nguvu wizkid na mafanikio yote yuko hamble na ameweza kuonywsha upendo kwa kupaform na domo lkn wewe unajiona mkubwa kuliko wizkid . mambo na watu kaka jishushe ili mungu akupandishe
sasa kama hajaathiri kitu si muendelee na bata bi sandra tatizo nini kutaka watu wote wasipumue??kutoshiriki kwake hakujaathiri lolote la msingi aache ushamba wa kujiona yeye ndiye anaweza kulikp wengine.
Kiba ana eagle anakunja sana Simba alivyo wa ajabu ngoma zake anagonga kama kawaida.
Amefosi bifu mseleleko eeeeh tumemkwepa amebaki masononeko eeeeeh tunamcheka[emoji13][emoji13][emoji13]
africa nzima eh[emoji23][emoji23]Kwa hiyo kibamia ni mkubwa kuliko wizkid ndio maana anaringa tamasha limetazamwa afrika zima vyombo vikubwa vimelilipoti .eti nataka mafanikio yang binafsi ache undez
africa nzima eh[emoji23][emoji23]
huna habari kuwa wasafi inapatkana dstv . kwa hiyo dstv inapatkana tz tu
Mondi alisema hata Alikiba aje maana haya mabifu bifu yanauwa muziki wala hakumsema kiubaya.sasa kama hajaathiri kitu si muendelee na bata bi sandra tatizo nini kutaka watu wote wasipumue??
eti kafosi bifu!nani kaanza kumtaja mwenzie?
Diamond ni msanii mkubwa wa Africa na sio Tanzania pekee na anamashariki wa Africaswala ni kufuatiliwa africa nzima.
afadhali ungesema inafuatiliwa na kila mtz aliyepo pembe zote africa.
Amtumie Mondi walau apate pesa. Anakoelekea ni karibu zaidi y atokako n bado hasomeki.Kwani ni lazima Alikiba kushiriki kwenye hilo Tamasha? Yaani watu mnashangaza sana!