Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Eeeenh! Hawa wote wanaenda Mayotte?Shikamoo Chibu.Pamoja na starehe nyingi anazozifanya Diamond, ila ndiye msanii pekee Tanzania aliyesaidia vijana wengi wasio na kipato kwa kuwainua kiuchumi, kifkra na kimaisha pia. Kupitia WCB, ameweza kuajili vijana zaidi ya thelathini ambao wanajipatia kipato kupitia juhudi za Diamond. Kwa maana hiyo kama ni kupima mafanikio kwa kigezo cha mchango kwa wale wasio na kipato, basi Diamond hana mpinzani katika wasanii wote Tanzania.
Acha kupotosha watu iyo masage ni ya mo akiwahasa watu na kiba kashare iyo masage xx izo tafsiri zako sijui umetoa wapi acha kutafuta kiki kwa vitu vya kijingapole kama hujaelewa hapo Kiba alitaka Mond amsaidie Dmpoz kwa kumtafutia collable na features Davido/Iyanya na ndomana katoa hiyo quote kwa sababu Mondi ni msanii mwenye mafanikio hivyo basi asiendekeze starehe bila kuwaangalia waanga wenzake kwa kuwashika mkono Hivyo basi Mondi kwa maono hayo ya Kiba kwamba Dmondi kashindwa kula na kipofu.
Hapana! Kiba amempongeza diamond hapo.. Maana ameajiri vijana wenzake wengi sana na kwa kweli amewatoa kwenye maisha magumu..
Hongera diamond na hongera kiba kwa kumpongeza kijana mwenzako!
(Subiri waje sasa [emoji23] )
Mkuu ndo wabongo tulivyo wavivu kusoma na kufikri mbali tunaendeshwa na matukio.......Mbona sielewi hapo huu si ujumbe wa MO DEWJ mbona mnapenda kugeuza vitu?
Hizi akili sijui mnaziokota wapi .Lini Ali Kiba aliwahi kumzungumzia Diamond hadi useme kuwa anamuonea wivu.Hiyo quote inamhusu vipi Diamond hapo!!Rubbish.Huyo wivu wa mafanikio ya mwenzie unamsumbua
Pamoja na starehe nyingi anazozifanya Diamond, ila ndiye msanii pekee Tanzania aliyesaidia vijana wengi wasio na kipato kwa kuwainua kiuchumi, kifkra na kimaisha pia. Kupitia WCB, ameweza kuajili vijana zaidi ya thelathini ambao wanajipatia kipato kupitia juhudi za Diamond. Kwa maana hiyo kama ni kupima mafanikio kwa kigezo cha mchango kwa wale wasio na kipato, basi Diamond hana mpinzani katika wasanii wote Tanzania.