Ali Kiba anaingilia ugomvi wa Ommy Dimpoz na Diamond kwa 'quote' hii?

Eeeenh! Hawa wote wanaenda Mayotte?Shikamoo Chibu.
 
Hapo itakua Dewji ndio kaingilia ugomvi...[emoji23][emoji23] ukosefu wa ajira na sarafu mtaani kunafanya akili zetu zinadumaa.
 
Sasa hii ndo mnasema anaingilia ugomvi hapa, hebu acheni uchochezi toka mwanzo Ally na Nasibu wanaugomvi hapo haijalishi kua anaingilia
 
sasa hapo kuna mtu katajwa kwani, wabongo sisi
 
Acha kupotosha watu iyo masage ni ya mo akiwahasa watu na kiba kashare iyo masage xx izo tafsiri zako sijui umetoa wapi acha kutafuta kiki kwa vitu vya kijinga
 
hayo maneno ni ya Ali Kiba au Dewji?

Siku nyingine Tumia akili
 
Hapana! Kiba amempongeza diamond hapo.. Maana ameajiri vijana wenzake wengi sana na kwa kweli amewatoa kwenye maisha magumu..

Hongera diamond na hongera kiba kwa kumpongeza kijana mwenzako!

(Subiri waje sasa [emoji23] )

Sijui nimechelewaje kuona hii
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwahiyo unataka kusema hiyo quote haimhusu Kiba pia?
Kwani yeye hajatoa ajira kwa vijana wenzake?

Nyie watu bwana!Sishangai thou...kila muwamba ngozi....

Asante kwa pongezi anyway...zimefika [emoji6]
Nanyi hongereni.[emoji122]
 
Ushabiki umezidi sasa
Kwani huo ujumbe unatatizo gani hapo?
 
Mbona sielewi hapo huu si ujumbe wa MO DEWJ mbona mnapenda kugeuza vitu?
Mkuu ndo wabongo tulivyo wavivu kusoma na kufikri mbali tunaendeshwa na matukio.......
 
Vijana wa Chama Cha Mapinduzi bure kabisa!
 
Huyo wivu wa mafanikio ya mwenzie unamsumbua
Hizi akili sijui mnaziokota wapi .Lini Ali Kiba aliwahi kumzungumzia Diamond hadi useme kuwa anamuonea wivu.Hiyo quote inamhusu vipi Diamond hapo!!Rubbish.
 

Wengine wapo chini hapo wanapiga picha,,,!'
 
Sio kila kitu kinahusiana na huo ugomvi inawezekana kacomment bila kuhusianisha na ugomvi wao...pia hata yeye Ali kiba ana mafanikio yake kiasi ingawa kazidiwa na Mondi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…