Ali Kiba anaingilia ugomvi wa Ommy Dimpoz na Diamond kwa 'quote' hii?

Kwani ulikuwa kwenye fikra zake ndg?
 
Hizi akili sijui mnaziokota wapi .Lini Ali Kiba aliwahi kumzungumzia Diamond hadi useme kuwa anamuonea wivu.Hiyo quote inamhusu vipi Diamond hapo!!Rubbish.
Akili za xxx hizi...haya mwambie mama akuandalie chai unywe
 
Katika swala la elimu bado viwanda vifunguliwe ili ile nyumba ya domo ya madale ihamishwe kariakoo kwasababu soka limekuwa gumu sana hadi wanaume wanakuwa wambea uku tegeta,canada
 
Sasa Ali kiba anasaidia nn wasio jiweza zaidi ya kuzaa n kutelekeza watoto kwa bibi n mama zao cku ya b'day ndo anatokea et
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…