pole kama hujaelewa hapo Kiba alitaka Mond amsaidie Dmpoz kwa kumtafutia collable na features Davido/Iyanya na ndomana katoa hiyo quote kwa sababu Mondi ni msanii mwenye mafanikio hivyo basi asiendekeze starehe bila kuwaangalia waanga wenzake kwa kuwashika mkono Hivyo basi Mondi kwa maono hayo ya Kiba kwamba Dmondi kashindwa kula na kipofu.