Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo wapi amemtaja Diamond au Rassa inakuwasha
Wapi mondi kamtaja dmpozi kuwa anapumuliwa nyuma?Hapo wapi amemtaja Diamond au Rassa inakuwasha
pole kama hujaelewa hapo Kiba alitaka Mond amsaidie Dmpoz kwa kumtafutia collable na features Davido/Iyanya na ndomana katoa hiyo quote kwa sababu Mondi ni msanii mwenye mafanikio hivyo basi asiendekeze starehe bila kuwaangalia waanga wenzake kwa kuwashika mkono Hivyo basi Mondi kwa maono hayo ya Kiba kwamba Dmondi kashindwa kula na kipofu.Mbona sielewi hapo huu si ujumbe wa MO DEWJ mbona mnapenda kugeuza vitu?
Gongo mnazokunywa asubuhi hizi...Wapi mondi kamtaja dmpozi kuwa anapumuliwa nyuma?
Yaani bado hata sijaelewa we unathibitisha vipi kwamba hiko ulichokiandika ndio Ali kiba amemaanisha ili nikubaliane na hayo mawazo yako.pole kama hujaelewa hapo Kiba alitaka Mond amsaidie Dmpoz kwa kumtafutia collable na features Davido/Iyanya na ndomana katoa hiyo quote kwa sababu Mondi ni msanii mwenye mafanikio hivyo basi asiendekeze starehe bila kuwaangalia waanga wenzake kwa kuwashika mkono Hivyo basi Mondi kwa maono hayo ya Kiba kwamba Dmondi kashindwa kula na kipofu.
Daaa kweli kuna watu wachochezi yaaan kisa kapost kiba mbona mo ndio post yake haukuona ameingilia ugomvi wa huo
Nimekupenda bure una akili haaaaHapana! Kiba amempongeza diamond hapo.. Maana ameajiri vijana wenzake wengi sana na kwa kweli amewatoa kwenye maisha magumu..
Hongera diamond na hongera kiba kwa kumpongeza kijana mwenzako!
(Subiri waje sasa [emoji23] )