Ali Kiba anatamani kuoa mke wa pili

Ali Kiba anatamani kuoa mke wa pili

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677
Ikiwa ni siku chache tangu stadi wa Bongo Fleva, Ali Kiba kufunga ndoa na mtoto mzuri kutoka Mombasa, Kenya Amina Khalef, ameonyesha nia ya kutaka kuongeza mke mwingine.

"Msanii huyo alisema, anaamini mkewe hawezi kuwa na kipingamizi kwenye suala hilo kwa vile wao ni Waislamu na wake wengi ni sunna ya Mtume (S. A. W) kwa mujibu wa dini ya Kiislamu"


MTANZANIA
 

Attachments

  • IMG_20180512_085111.jpg
    IMG_20180512_085111.jpg
    179.5 KB · Views: 41
Back
Top Bottom