Ali Kiba anavyoishi mtaani kwao: Majirani wasema haongei na anajificha

E
eehhh ikawaje????
 
Sasa wewe ulitakaje?

Awe anashinda nao kwenye vijiwe vya kahawa?!
amna majirani,muhimu...yan wao wanatak hata awe anawapungia mkono,...just hiii tu,au hi wapeleke kwa dully tu?
 
Wasimulaumu Anakuwa yupo high na shisha ya bangi -
 
hawa musician waanza kujenga majumba kwenye maekari kadhaa wawe huru, huko mitaani ndiko wanakopotezea umaarufu wao
ndo maana hapendi kuonekana hovyo, angalia wanavoishi alikiba na diamond wote sio watu wa kuonekana hovyo hapo ndipo thamani yao pia huongezeka. wakikuona kila mara wanakuzoea sana
 
maisha ya umaarufu ni magumu sana kila mtu anataka akusemeshe na umuitikie sasa jiulize utaongea na wangapi
 
wabongo hata mkisalimiwa mtasena jamaa anajipendekeza
kweli kabisa mkuu kuna wengine tena wazee watu wazima unamsalimia kwa heshima unaona anakukazia macho tu hadi unapotelea hakujibu... sijui huwa wanataka nini usipoamkia utaskia kijana ana dharau sana... wabongo hawana jema
 
Jirani wengine Nuksi tu
Nuski sio kidogo, ndo shida ya kuishi changanyikeni, msaani mkubwa tena wa kimataifa kama wanavyosema.... Unaishi maeneo yenye jirani wanaotaka kujua kila unachofanya unategemea nini lawama lazima upate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…