sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Leo kupitia insta story msanii mkongwe wa bongofleva Ali Kiba aka King Kiba ameonyesha uwezo wake mkubwa wa kuujua mziki mzuri.
Ametumia siku yake ya leo kupitia insta story kuonyesha mahaba yake kwa nyimbo za wasanii wanaoongoza nchi hii wa WCB.
Amecheza nyimbo zifuatazo
1. Sukari - Zuchu
2. Kwetu - Rayvanny
3. African beauty - Diamond Platnumz king of bongofleva
4. Lavalava
Ama kwa hakika nchi imesimama.
Ametumia siku yake ya leo kupitia insta story kuonyesha mahaba yake kwa nyimbo za wasanii wanaoongoza nchi hii wa WCB.
Amecheza nyimbo zifuatazo
1. Sukari - Zuchu
2. Kwetu - Rayvanny
3. African beauty - Diamond Platnumz king of bongofleva
4. Lavalava
Ama kwa hakika nchi imesimama.