Ali Kiba arejea Dar na tuzo ya MTV, HamoRapa ajitokeza kumpokea airport

Ali Kiba arejea Dar na tuzo ya MTV, HamoRapa ajitokeza kumpokea airport

GadoTz

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
370
Reaction score
636
Msanii machachari anaekuja juu, Hamorapa leo alijitokeza uwanja wa ndege kumpokea Kiba akirejea toka kwenye ziara yake ya South Africa.


f7e134cf71000d86970af88e1465fe06.jpg
761c70ec888ca0c9717177a2943a49fb.jpg


===========
Video
 
Mkali Ali Kiba, baada ya kufanyiwa figisu za nguvu, hatimaye amekabidhiwa tuzo yake ya MTV na kurejea nayo Bongo ambapo amepokelewa kwa shangwe JNIA. Harmorapa alikuwa miongoni mwa walimlaki na kama kawaida yake, akafosi kiki...
Tazama video...
 
Huyu harmo rapper mbona anapewa tension, hivyi kafanya nn ktk tasnia hii ya bongo fleva , yaani mdananda kishenzi
 
Back
Top Bottom