Kuna dj alishawah mpiga Mond kure iringa lakini sizan leo hii kuna wa kueza kumpiga Mond, so acha dogo apondwe ajifunze!.Mwanzo mgumu una mabonde, milima, miba, visiki, vichaka na kila aina ya vikwazo vinavyo mkatisha tamaa mwanadamu,
Mtasema mengi sana juu ya harmorapa kwa sasa, siku akipata mafanikio mtaanza kuunda (timu harmorapa) wakati sasa mwamuita choko
Harmo rappa so talented boyJana nilikuwa nasikiliza kwetu flavour ya Magic FM nikamsikia hamorapa Na jamaa mwingine anafanya danso walikuwa wanatambulisha ngoma mpya.eti wiki ijayo kuna single ya hamorapa inakuja Na kichupa
choko? kakukosea nini hadi unamtukana hivo?Iv hili choko hamorapa lipo
inaskitisha sana. the guy sjui kawakosea nini?Mwanzo mgumu una mabonde, milima, miba, visiki, vichaka na kila aina ya vikwazo vinavyo mkatisha tamaa mwanadamu,
Mtasema mengi sana juu ya harmorapa kwa sasa, siku akipata mafanikio mtaanza kuunda (timu harmorapa) wakati sasa mwamuita choko
Kosa lake dogo tu wanachukia jamaa ananyemelea mafanikio akiwa hana kitu cha kuwazidi wao zaidi ya uthubutu na ujasiri!vitu ambavyo havina gharama wala havihitaji elimu lakini wengi wetu hatuna!atawaumiza sana wasiopenda watu wengine wasifanikiwe! Wanamwita sura mbaya lakini ana demu wa kuweza kuitwa demu !wao na u handsome wao wanaishia kupiga pu picha za kina masogangeinaskitisha sana. the guy sjui kawakosea nini?
mbona wa kawaida tu.Nina sura mbaya ila simfikii huyu jamaa
Vp mbona una wasi wasi hujiamini? unaona Hamo atamfunika Kiba?? punguza uogaMods heading ni "kumpokea" Ali Kiba.. Naomba mnisaidie kubadili
Acha watu waoneshe mapenzi yao..kwan unawalisha?Hivi hawa watu huwa wanalipwa kwenda kuwapokea?
maana kwa ninavojua mtu mwenye akili zake timamu hawezi acha kazi zake (unless hawana kazi za kufanya) na kwenda kumpokea mtu ambae hata hakujui.
Everything should have a limit, hata ushabiki inabidi uwe na kiasi. Kuna vitu havi-make sense kabisa.
This goes both ways
hoja yako ni ipi kijana?Acha watu waoneshe mapenzi yao..kwan unawalisha?
Hata kuagiza gari kwa miezi kadhaa nayo ni kick tuMpokelewa mpokeaji
wanaishi kwa nguvu ya kick mjini!!
Poleni sana