Mipasho'Mziki ungekua ni sauti tu , ningemsaini Wema Sepetu' - Diamond Platnumz.
Hizi tuzo ndio kwanza leo nazisikia. Any way Hongera Allykiba. Hongera kwa kupeperusha Bendera ya tz vizuri.Alikiba ashinda tuzo mbili za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA)
Alikiba ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za heshima kubwa za The Nollywood & African Film Critics (NAFCA) ambazo hutolewa nchini Marekani.
Tuzo za mwaka huu zilitolewa wikiendi hii kwenye ukumbi wa Alex Theatre of Glendale, huko California. Zilikuwa ni tuzo za 6 na zilionekana katika nchi mbalimbali duniani.
Alikiba ameshinda kipengele cha Favorite Artist of The Year na Favorite Song of The Year. Source: @bongofiveView attachment 438495
Hapo juu kuna sehemu ametajwa Ivan!? Hapa tuna wazungumzia Diamond na Alikiba.Huko aliko Chibu IVAN alipafanyaje?
King Kiba Hana huo ulimbukeni!Team arsenal wakame wa makombe wakipata ata ndondo cup mtaa wa pili no kulala
Povu linavokutokaKing Kiba Hana huo ulimbukeni!
Angekua "Mr Salome" ungoena kapiga nazo picha hadi akiwa chooni!
hitaa=gitaaHivi ali kiba anajua kupiga hilo hitaa alilobeba au mbwembwe tu?
Ingekua kero angezichomeka hdi mataqwonKing Kiba Hana huo ulimbukeni!
Angekua "Mr Salome" ungoena kapiga nazo picha hadi akiwa chooni!
Mbona tumelala na wala hatushauka na tuzo kama ilivo midomo yenu mikubwa..ukiwa na adabu utapendwa na kila mtu endeeleni kupumuliwa na mr janjaTeam arsenal wakame wa makombe wakipata ata ndondo cup mtaa wa pili no kulala
Kila mmoja ana wakati wake mkuuMbona huyu jamaa anapitia njia alizo pitia diamond japo alianza mziki kabla mwenzake alikuwa wapi miaka yote sasa ivi ndo anatoboa