Ali Kiba atangaza rasmi kuanza ku-follow watu lakini kwa condition hii

Ali Kiba atangaza rasmi kuanza ku-follow watu lakini kwa condition hii

Ndo atabaki nalo Hilo Hilo, badala ya kuandaa tour yyt..
 
Kibakuli ni mbuluraz,Obama mwenyewe amefollow watu sembuse huyo dogo limbukeni?
 
Kiruuuuuuu ndo nin sasa hivo... Kiba bana hehehe
 
eb2e3a4a71be1969d649c986c34f4711.jpg
wamefanana lakini!
Jaman dunian wawili wawili, so kwa kiba wawili wake ni bushman mulemuleee
 
Ujio wa Mavoko umemmaliza Kiba. Jamaa ana gundu kwelikweli. Hakuna anayekumbuka kama katoa ngoma juzi juzi. Imebaki story Rich Mavoko.

Babu habebeki
 
Back
Top Bottom