Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi


C wameuza nyimbo za dai itune zitumike kumjengea .
 
Hii ni aibu kwa msanii mkubwa kama King kiba kurudisha mpira kwa kipa (kurudi kukaa kwa mama ake).. nitachangia laki 2
 
Wanawake tukiamua tunaweza, tumemsapoti kapata tuzo, tumempangishia nyumba, na tunaahidi kumuhifadhi kwa kipindi hiki....natoa laki tena imejensi imeangukia tarehe zenyewe shemeji atakua anakaribia kutuwezesha

Hima wanawake njooni mum saport mtu wenu.........Wanawake mkiamua mnaweza

Tafadhali cute b atoto nifah njooni mtoe mchango huku

Kijana wenu anahitaji msaada

Naongeza Laki Mbili
 
Last edited by a moderator:
Wanawake tukiamua tunaweza, tumemsapoti kapata tuzo, tumempangishia nyumba, na tunaahidi kumuhifadhi kwa kipindi hiki....natoa laki tena imejensi imeangukia tarehe zenyewe shemeji atakua anakaribia kutuwezesha

Anazuga anafanya tour ya daladala kumbe analalamo siku inaishia kwenye daladala,kwa kweli anahitaji msaada wa dharula tumpeleke kwenye mahema ya mabwepande kwa wahanga wa mafuriko wasiokua na makazi kama yeye,.
 
Anazuga anafanya tour ya daladala kumbe analalamo siku inaishia kwenye daladala,kwa kweli anahitaji msaada wa dharula tumpeleke kwenye mahema ya mabwepande kwa wahanga wa mafuriko wasiokua na makazi kama yeye,.
Ha ha ha mwenyewe anaita daladala tour, akifika level za nje...ataanza meli tour na ndege tour!!!
 
Dah! Yani kweli karudi kwa Mama yake..!!!

Noma sana hii, jamani.
 

wanarudi kwa dai, itakua shidaaa.
 
namchangia 👕👟👒👖👢
 
Tuzo zilitakiwa zikae kabatini kwake, ila sahivi zipo kabatini kwa maza....
Haya yanatokea kweli.!??
Nasubiri neno toka kwa mfalme wa mwituni.

Lakini, kama haya ni kweli hawa watu wameshindwa mfadhili nyumba.?
 
Haya yanatokea kweli.!??
Nasubiri neno toka kwa mfalme wa mwituni.

Lakini, kama haya ni kweli hawa watu wameshindwa mfadhili nyumba.?

mwenzake baba mwenye nyumba, yeye anaona bora aitwe baba mwenye tuzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…