Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Tuzo zimewekwa kwenye mfukonwa rambo...
Kabati la mama kaweka vyombo vyake....
Yani atoe vyombo aweke tuzo zisizomsaidia kitu?...
Hell no...
Ha ha ha zitavunjika sasa kama sio kupotea kabisa.....
 
Dah mfalme mzima hana nyumba??! Duh noma kweli... Team kibakuli mpooooo??? Bwana enu anaadhirika huku, ametupiwa vyombo nje na tuzo kaweka kwenye malboro, sasa jokate si amuhifadhi, au anarudi kwa maza?? Hahahaaa... Team kibakuli mpooooo....!!!?? Yereee!!
 
Labda ataenda kukaa kwa devotha mzazi mwenzie!na alivyokuwa anamdharau sasa!ahaha king ameniacha hoi kweli
wazazi wenzie na huyu king mswati hata siwajuagi, namjua tu huyu boss alokua anampa jeuri ya kukoroma usiku
 
Jokate halei marioo, karudi tu nyumbani.....nani kama mama, home sweet home ha ha ha
 
wazazi wenzie na huyu king mswati hata siwajuagi, namjua tu huyu boss alokua anampa jeuri ya kukoroma usiku

Mi mmoja ndio namjua kidogo ila wale wengine wawili king anawaficha akiwemo yule housegirl alozaa naye,sijui anaona aibu kuwaonyesha hata sijui mwenzangu.

Wacha tu mungu amlipe king haphapa duniani kwakweli,aliyowafanyia wale mama watoto zake ni ya kuumiza sana,asitubu kwa mungu wake dhambi hizi zitaendelea kumfata kila sehemu
 
Hahahahahah kingkiba


Vipi na slogan ya k 4 real hhahahagahq
 

Attachments

  • 1435298164578.jpg
    81.7 KB · Views: 242

Kumbe anapiga hadi hausi gelo mweh weka mbali na watoto....labda anakua kachagua sura mbuzi sio wa kuuzia sura make hata huyu Mariana ze mfadhili anapiga nae picha kwa wasi wasi kama vile dem anafosi tu ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…