Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
shame on you,, hujui mimba ni baraka. Shame on you
Taarifa zinasema mlinzi wa kiba ameteswa sana,so ina maana hajaweka hata security wire or nn,lakini mwezi uliopita nilipita nje ya nyumba ya dai ucku taa zinavyomulika kuliko watu wote wa ule mtaa ingawa aslimia kubwa mijengo ya pale haijatofautiana sana ila kwa mazingira ya ile nymba ya mondi na yale mataa yanavyomulika lazma kutakuwa na cctv camera na wire wa kunasia wezi kama hao waliomwimbia kiba labda utakuwa umenielewa
Subwoofer ya sea piano