Ali Kiba avamiwa na majambazi nyumbani kwake

Ali Kiba avamiwa na majambazi nyumbani kwake

Diamond chukua tahadhari leo kwa kiba kesho kwako imarisha ulinzi nyumbani kwako!!

Diamond ana ulinz mkubwa sana si umeona mbavu nn ile imefuzu tykondo judo karate boxer kungfuu
 
Mateja hao majambaz now hawaibi vitu wanaiba pesa tu kiba apost picha ya vitu vyake insta tumsaidie vilipo hifadhiwa

Ila Kiba alikuwa kwenye kwa muda mrefu sana, ali-hit sana enzi zile, naona sasa kama .. dah!

Btw, ajifunze asiibiwe tena!
 
Pole king kiba. Nilikuwa nasoma kwa makin kama walikuumiza hio koo maana bongo fleva ingeporomoka sana. Ila all in all pole kamanda chekecha shoo hzo ununue mpya za kisasa zaid. You can make it nigga.
 
Next time ajenge pia milango imara. Pole yake
 

Attachments

  • 1430547898973.jpg
    1430547898973.jpg
    9.9 KB · Views: 840
  • 1430547919205.jpg
    1430547919205.jpg
    16.1 KB · Views: 815
hapa tulipofikia wa Tanganyika hata mungu katuchoka.Hawezi kutusaidia tena.

tujikongoje kivyetu tu.
 
kuna kitu nilikihisi wakati nasoma hiyo habari ya kiba kuibiwa nikajiuliza why after zari white party?

nikaona ngoja nikae kimya kwa clouds kila kitu kinawezekana!!

Na wewe umezidi hata kama ushabiki maandazi sio kihivo mtu kafanyiwa uhalifu wewe unaleta nonsense zako na hisia ka mwanga. Usiongozwe na hisia kukomenti buuuuuana mana reality ndo inaongea.
 
Mbona hamsemi mnataka kwenda kuwaibia matajiri wa nchi hii mnapanga kumuibia msanii Diamond...acheni wivu...khaaaaa na kuibiwa kuwe mashindano basi nyie nendeni mkaweke vyenu barabarani muibiwe mtangazwe pia.

badala ya kukiongelea tukio lisilo zuri kama ili mnamuonea wivu Diamond yaani kweli wivu wenu mwenzenu ndio anapaaaa

Alichosema jamaa hapo juu ni kweli...si kwamba tunafurahia mtu kuibiwa...la hasha....ila hiyo tabia ya kuonyesha onyesha vitu ulivyo navyo inaponza....
 
Ina maana hana hata mlinzi mgambo au KK? dah huyu jamaa hajipendi na jina lote hilo?
 
Back
Top Bottom