Ali Kiba avamiwa na majambazi nyumbani kwake

Ali Kiba avamiwa na majambazi nyumbani kwake

Pole kiba watu hawana huruma,hapo ndo nimepata jibu la kwa nini ukuta wa daimond ucku,una waka taa za aina yake huwz hata kucmama dkk kumi bila sababu kama unajielewa unahic kamera za cctv zinakuchukua zinamshinda deo jirani yake na m/kt wake wa serikali ya mtaa, so kiba wekeza kwenye ulinzi,mlinzi mmoja tu kweli kama cc wa kawaida huku kumbe wewe ni star mkubwa
 
Pole kiba watu hawana huruma,hapo ndo nimepata jibu la kwa nini ukuta wa daimond ucku,una waka taa za aina yake huwz hata kucmama dkk kumi bila sababu kama unajielewa unahic kamera za cctv zinakuchukua zinamshinda deo jirani yake na m/kt wake wa serikali ya mtaa, so kiba wekeza kwenye ulinzi,mlinzi mmoja tu kweli kama cc wa kawaida huku kumbe wewe ni star mkubwa

Yaan sijakuelewa hebu rudia kuandika
 
Taarifa zinasema mlinzi wa kiba ameteswa sana,so ina maana hajaweka hata security wire or nn,lakini mwezi uliopita nilipita nje ya nyumba ya dai ucku taa zinavyomulika kuliko watu wote wa ule mtaa ingawa aslimia kubwa mijengo ya pale haijatofautiana sana ila kwa mazingira ya ile nymba ya mondi na yale mataa yanavyomulika lazma kutakuwa na cctv camera na wire wa kunasia wezi kama hao waliomwimbia kiba labda utakuwa umenielewa
 
CEAU9pwVIAAo4-6.jpg:large
 
Siku hizi mijizi iko mpka kwenye mitandao ya kijamii, msanii ukitangaza mali zako mijizi ina click like tu.
Kitu kingine kwa kunduchi kuvamiwa kwa style hiyo badi kipo.
Pole sana kiba
 
Mbona habari ya kuvamiwa haipo? Lini, wapi, namna gani.
 
Kabla hujapost habari,jitahidi kuangalia kwanza kama haijawekwa humu
 
Hivi Kunduchi anakaa sehemu gani? Hivyo Vimlango vilivyovyunjwa ni vya seplasi? Utakaaje ndani na 2.5m cash? Hakuna Bank au Mobile-Pesa?
 
Kuna gari lilitekwa na majambaz, baada ya kuwasachi na kukuta hawana pesa, wakasema kila m2 atapigwa viboko kutokana na shati alilovaa, jamaa alivaa jezi ya rooney wa man u akapigwa viboko10 mwngne alivaa nguo ya 50cent akala 50, sasa kwa pemben kulikuwa na mshkaji analia balaa, kuchek kumbe alivaa tshet imeandkwa LOWASA 2015
😀


Nafikiri alilenga kuleta hii joke....
 
Back
Top Bottom