Ali Kiba awavunja mbavu Clouds Media kwa Kipensi cha ajabu alichovaa

Mbona ni ishu ya kawaida kwa vijana wa Dar..

Sisi watu wa huku ipogolo ndiyo tumetoka kwenye kikao cha dhalura kuwa jadili hatma ya hawa vijana wa dar.. Wakiendelea na huu upuuzi wao tutawakatia misaada ya chakula

Tumedhamiria mikoa yote ya vijiji kuwatenga hawa watu wa jamhuri ya dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…