Ali Kiba awavunja mbavu Clouds Media kwa Kipensi cha ajabu alichovaa

Huyu hapa CHOKO mwingine [emoji23][emoji23]

Maana mnaendekeza chuki bila kuangalia tawi uliokalia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ishakua shida aisee yani wasanii wetu wameanza kuzurura na boxa mtaani wanaume wa mikoani tunavaa ndani ya suruali

Heavy Weight
 
Lol, ur so funny
 
ila waTz washamba jamani khaaa, au sijui ni unafki, lol..
tembeeni muone sio wote wanavaa mabazee na mabatiki, hiyo fashen iko world wide kama huwezi wenzio wanaweza, lol.
 
Huyu hapa CHOKO mwingine [emoji23][emoji23]

Maana mnaendekeza chuki bila kuangalia tawi uliokalia.
hahahahha umeuaaaaa hasa sentensi yako ya mwisho, huhuhuhuhu pitia [emoji482] au[emoji485] Lol
 
Jamii yetu inapaswa kujifunza kuacha watu waishi maisha wayatakayo ili mradi hawavunji sheria tulizoziweka.

Tusijidanganye kwamba tuna utamaduni wetu nk mambo yanabadilika kila kukicha,na mtu hafungwi na tamaduni sehemu yoyote Ile.
Words[emoji106]
 
Jamii yetu inapaswa kujifunza kuacha watu waishi maisha wayatakayo ili mradi hawavunji sheria tulizoziweka.

Tusijidanganye kwamba tuna utamaduni wetu nk mambo yanabadilika kila kukicha,na mtu hafungwi na tamaduni sehemu yoyote Ile.
Kwahiyo hayo maisha ya kichoko ndio ameamua kuyaishi....
 
Mbona kavaa nguo ya mdogo wake Zabibu?
 
Kama kampani yake ni mwanaume anayejiita Dimples, basi hujue hasara tupu.
 
Ally Kiba...rudi kwenye mstari. Kipaji kitakufa kifo cha mende
 
Hawa wasanii wetu hivi vitendo vyao mmh vinaleta alama za kuuliza nyingi tuje tuwapime marinda kama kweli wanayo.
 
Kiba kupiga kinjunga sio. Kuna watu huwa wanapenda kuvaa kinjunga tuu havai zaidi kinjunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…