[B ] Andika hivyo bila kuacha nafasi kwenye hayo mabano..Anza kwanza kuniekekeza namna ya ku bold huku jf
Zitto Kabwe ni Mmanyema my dear.Sio kila mtu wa Kigoma ni Muha.
Ali ni Mmanyema.
Diamond Mmanyema.
Zitto Kabwe Muha.
Linex Sunday Mjeda ni Muha.
Mwasiti ni Mmanyema.
Baba Levo Muha.
Chege ni Mmanyema.
i have time, just be free to explain.... napenda kujifunza.Mambo mengi sana ni somo linalohitaji masaa pia kuelezea.
Huyu kipindi hicho alikuwa anaforce kutoboa kimuziki... ilikuwa kama kiki au sijui yalikuwa ni masharti ya mtaalamu labdaKumpenda sana Diamond haifai kuwa sababu ya kumchukia sana Ali Kiba.
Wewe mwanaume ulifungua thread hapa kuwa ukipeana mkono na mtu lazima utatafuta maji na sabuni unawe mikono ndiyo uweze kuendelea na shuhuli zako huna jeuri ya kumuita mtu shoga eti kwasababu tu amevaa pensi.
Huyu hapa Diamond kachojoa kabisa ila mimi sidhani kama ni shoga.
Kuna uhusiano gani wa mimi kusema Kiba choko,na wewe kuniwekea picha ya huyu mtu ....??Huyu hapa CHOKO mwingine [emoji23][emoji23]
Maana mnaendekeza chuki bila kuangalia tawi uliokalia.
Wanasema eti anavunwa.What is wrong with Ali Kiba dressing? Au mnasahau kuwa Kiba ni celebrity?