Ali Kiba azidi kugeza kwa Diamond Platnumz, sasa kuja na brand ya nguo na energy drinks

Naomba ili ku prove your arguably statement, nitajie clothe brands hata moja ya Diamond, na soft drink anayouza?
Hapo ndio nitaamini Kiba ameiga ideas kutoka kwa Diamond
 
Reactions: SDG
Kwani diamond ndio msanii wa kwanza duniani kuwa na product yake. Acheni wivu wa kukatisha watu tamaa. Basi Mondi kaiga kwa dinamarios...dina ana mafuta ya nazi.
 
Reactions: SDG
Wenzio wanatafuta pesa wewe na ushabiki maandazi wako unawashindanisha...
 
Reactions: SDG
mwandishi wa uzi huu ameongea pumba hakuna tena dunia nzima.! diamond ana NGUO brand anatumia nini? au tuwaulize TRA kama hizo brand anazo na zinalipiwa kodi? halaf heshima humu kwani upo ukweni? huna ruhusa ya kuongea kama hujafanya tafiti.NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.!usiwe kama BASHITE.....
 
Wivu Wa KIKE wewe BWEGE!
 
Asante kwa promo..
Nilikuwa sijui .
Kumbe kuna mambo makubwa mfalme anafanya.
 
Reactions: PNC
Kama ni kwa maendeleo yake na taifa kwa ujumla mwache afanye sioni ubaya...maana atatengeneza ajira kwa vijana wetu
 
Mtoa Uzi uoni kwamba endapo kiba ataanza izo issue kuna vijana watapata ajira....siku nyingine ufikir kabla haujaandika
 
Watu wanatengeneza pesa ww unatengeneza majungu.big up kaka
 
HAYA NDIYO MASHINDANO TUNAYOTAKA YAKUSAIDIA TAIFA

Zikiwa zimepita wiki mbili toka Mwimbaji mwingine staa wa Bongofleva Diamond Platnumz kuzindua Perfume yake, leo May 11, 2017 kupitia 255 ya XXL Mwimbaji staa wa ‘aje’Alikiba ameweka wazi kuwa moja ya mipango yake ni kutoa mavazi aina ya jeans, miwani, viatu na vinywaji vya energy vyenye jina lake.

Alikiba amesema kuwa hiyo ni mipango mizito na hatarajii kuifanya kiholela kwani hata mwanzo alifanya kama promotion lakini sasa hivi hayupo tayari kuikosea serikali na amejipanga kufungua na duka ili watu wake waweze kupata kwa urahisi.

“AK ni Brand ya Alikiba nashukuru imekuwa kubwa watu wanavaa lakini pia ipo na ya King Kiba nayo ni brand yangu na zipo official kabisa na kazi zitakapoanza watapata product zote’ – Alikiba

“Kuna Malengo makubwa sana tumeyaweka lakini siwezi kusema sasa hivi ila kuna Jeans Viatu na Glasses tayari zishatoka soon wataziona maana hizi zitakuwa za kwanza sababu tayari zishatoka na kuna energy drink”– Alikiba
 
Mwambieni King atoe na Viroba hizo fashion wengine sio mambo yetu.
 
Duuuh.WCB inaone
Team Madale wakija kuponda nistue nije kuwapa vipande vyao.[/QUOTE,WCB mzee baba inaonekana inakunyima raha sana,ila hata hawakujui kama kiba asivo kujua.Go boy labda cku moja WCB itafall utasuuzika nafsi.Don't give up the hatred son
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…