Ali Kiba azimia show ya Diamond Platnumz

Ali Kiba azimia show ya Diamond Platnumz

Sori blaza. hiyo show ipo kwenye Ratiba za mondi miezi kadhaa kabla ya show na alikuwa anapost karibu mwezi mzima kabla ya show. kwahiyo Alikiba alijua kuwa anaenda kwenye show ya Diamond ila DiaMond hakujua kama katika show yake kutakuwa na msanii wa "SAPRAIZI"

Naomba screen shot za hiyo show aliyoipost mwezi mzika braza
 
hakuna msanii anayevamia show ya bure bure tu hiyo show kiba alilipwa na hakujua kama kuna diamond na wala diamond pia hakujua uwepo wa alikiba
Matangazo yalitangazwa msanii wa kimataifa atakae kuepo no diamond sio kiba
Hata kwa redio matangazo yalikuavya diamond tu
Wakenya walitumia uswahili kwa mambo hayo
 
Back
Top Bottom