Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Na wewe single mother muda wa kuchangia mada za kimbea unapata wapi?Sista acha umbea au we ni mjane? Mda wa kupiga umbra unaupata wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
kila binadamu ana aina yake ya kuishi na sio lazima unachofanya ww na wengine wafanyeHuyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.
Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.
Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama hufuatilii tusingekuona hapa celebrie forum.Mkuu kwahyo wewe umekaa tuu unamfatilia alikiba atasema nn kwnye msiba wa godzila je kama hana bando au hayuko online muda huu??? Je umefika eneo la msiba umemkosa na akat msiba umetokea leo usiku so subiri mpka waje wazike na wewe uhudhurie mazishi ndo uje ulete huo uzi otherwise usifatilie mambo ya wanaume wenzio mkuu
Kama unatafuta danga nenda jukwaa la Love Connect humu hatununui machungudoa.kama wewe ni mwanaume, siyo riziki. Ila kama ni mwanamke endelea tu
Nakazia hapohapokama wewe ni mwanaume, siyo riziki. Ila kama ni mwanamke endelea tu
Kama mtazamo wako ni huo, wewe umepata wapi muda wa kuujibu umbeya?Sista acha umbea au we ni mjane? Mda wa kupiga umbea unaupataje?
Usihukumu kabla ya wewe kuhukumiwa kutokana na dhambi ya dhana.Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.
Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.
Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.
Sent using Jamii Forums mobile app