Ali Kiba bado hajakoma tu, aendeleza kiburi chake.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.

Sasa wasanii wenzake walimtenga ili wampe funzo ,hawakujishughulisha na chochote wala kumpa pole lakini jamaa bado funzo halijamuingia tu.

Wasanii wengi sana kwa namna moja au nyingine wameonesha kwa kiasi kikubwa kuguswa na msiba wa Godzilla lakini Ali Kiba amejifanya kama hajui kinachoendelea.

Kwa anayoyafanya sitashangaa siku akifa halafu wasanii wenzake wakagoma kumzika.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwahyo wewe umekaa tuu unamfatilia alikiba atasema nn kwnye msiba wa godzila je kama hana bando au hayuko online muda huu??? Je umefika eneo la msiba umemkosa na akat msiba umetokea leo usiku so subiri mpka waje wazike na wewe uhudhurie mazishi ndo uje ulete huo uzi otherwise usifatilie mambo ya wanaume wenzio mkuu
 
kila binadamu ana aina yake ya kuishi na sio lazima unachofanya ww na wengine wafanye
 
Wewe kama hufuatilii tusingekuona hapa celebrie forum.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huenda we ndio ukawa hujui kinachoendelea ,vitu vingine sio mpaka mtu aposti ,kiba kuna ngoma ya pa1 alifanyaga na zillah inaitwa milele so sidhani kama msiba huu utakua haujamgusa kwa namna moja au nyingine..
 
Huwaga nawashangaa watu wanao judge kwa kutumia social network hizi, unaweza ukakuta Zilla na Kiba wapo poa.Huwezi jua nyuma ya pazia anafanya uhamasishaji.
 
Usihukumu kabla ya wewe kuhukumiwa kutokana na dhambi ya dhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…