Ali Kiba Fans' Special Thread...


Hahahaaaa una akili kweli wewe best...hivi kweli angekua si mkali wanamjadili wa nini?
 

Mhhhh please jaribu basi kuandika vizuri jamani kama sisi unanipa (nadhani na wengine) shida sana pia naumiza kichwa hadi nielewe unamaanisha nini....
Vipi kuna nini kinachoendelea mbona unasema post ya R.Kelly?
 
Mdakuzi unatutoa roho mashabiki wengine jamani..Geniveros unaujua kuuchuna!!
 
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator
 
Last edited by a moderator:
Poa poa. Nafanya mawasiliano Bongo ili tufanye kitu.
Ova

Awwwwww jamani huu uzi ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi fans wa Kiba nini?hahahaaaa mtaa wa pili watahamia huku nawaambia
 
Mdakuzi unatutoa roho mashabiki wengine jamani..Geniveros unaujua kuuchuna!!

Hahahaaaaa huu uzi ni wa billionaires u know....soon utaitwa billionaires thread heheeeee nyie mtaa wa pili kufeni tu kwa vihoro nawaona tu mnavyoumia roho huko
 
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator

Kha!Mdada mbaya wewe!!!safari njema mpenzi hope unarudi mujini umechoka kula nyama za mbuzi dom.....uwiiiiii natamanije sasa ningekua ndo mimi pale kongwa pangenikomaje???
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator

Hahahaaaaa huu uzi ni wa billionaires u know....soon utaitwa billionaires thread heheeeee nyie mtaa wa pili kufeni tu kwa vihoro nawaona tu mnavyoumia roho huko

Kha!Mdada mbaya wewe!!!safari njema mpenzi hope unarudi mujini umechoka kula nyama za mbuzi dom.....uwiiiiii natamanije sasa ningekua ndo mimi pale kongwa pangenikomaje???

Hongera bibie kwa ushindi

Kwa niaba ya mashabiki wote wa Kiba nasema CONGRATULATION geniveros kwa kubahatika kuwa kuwa mshindi wa Complimentary phase one.

Sasa Fans stay tune for phase 2 Christmas bonanza many many to come.
 
Last edited by a moderator:
Poa poa. Nafanya mawasiliano Bongo ili tufanye kitu.
Ova

Kwakweli ni lazima tuwajari hawa malkia wetu kwenye club yetu hii ya wastaarabu, ndio maana hata viwanja vinene kuna Ladies free na red carpet.
 
Shoga!!!enzi hizo hata sijui you tube ni nini....anafananisha na video zilizotoka digital
Kama anataka ushindani kwa nini asizishindanishe na za davido?


ndio unisaidie kustaajabu ya firauni hayaa
 

Ndio jina lake hilo...eti ndiye official dj wake
 

japo mie sio wa mpira kiivyo na ulowataja hata siwajui ila nahisi tu ni wakali kama kibaaaa(hutaki unapita kuleeee)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…