Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

welikamu home sweet homeeee, kijana anajua tena sanaaaa, ndio maana kurudi kwake watu suruali zimewabana ati, acngekuwa tishio c wangetuliaaa, mbona akina mb dog n mr nice wanafurukutaga kurudi lkn watu hawapanik??? kurudi kiba watu wapo icu, jibu ni moja tu he is "the badest"

Hahahaaaa una akili kweli wewe best...hivi kweli angekua si mkali wanamjadili wa nini?
 
Na mpira anajua huyu jembe ucmpmie hata kdogo bnafs nimemuona uwanjan anajua plus mwil wake ulivyo kiargentina twaweza kumuita culo bajo na bueno aires waka2elewa,ila yote kwa yote r kely post yake naic itakata mziz wa fitina mana ndo muhimu kwa wote 2naomjua mix kumkubal mana 2po weng

Mhhhh please jaribu basi kuandika vizuri jamani kama sisi unanipa (nadhani na wengine) shida sana pia naumiza kichwa hadi nielewe unamaanisha nini....
Vipi kuna nini kinachoendelea mbona unasema post ya R.Kelly?
 
Mdakuzi unatutoa roho mashabiki wengine jamani..Geniveros unaujua kuuchuna!!
 
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator

Kha!Mdada mbaya wewe!!!safari njema mpenzi hope unarudi mujini umechoka kula nyama za mbuzi dom.....uwiiiiii natamanije sasa ningekua ndo mimi pale kongwa pangenikomaje???
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator

Hahahaaaaa huu uzi ni wa billionaires u know....soon utaitwa billionaires thread heheeeee nyie mtaa wa pili kufeni tu kwa vihoro nawaona tu mnavyoumia roho huko

Kha!Mdada mbaya wewe!!!safari njema mpenzi hope unarudi mujini umechoka kula nyama za mbuzi dom.....uwiiiiii natamanije sasa ningekua ndo mimi pale kongwa pangenikomaje???

Hongera bibie kwa ushindi

Kwa niaba ya mashabiki wote wa Kiba nasema CONGRATULATION geniveros kwa kubahatika kuwa kuwa mshindi wa Complimentary phase one.

Sasa Fans stay tune for phase 2 Christmas bonanza many many to come.
 
Last edited by a moderator:
Poa poa. Nafanya mawasiliano Bongo ili tufanye kitu.
Ova

Kwakweli ni lazima tuwajari hawa malkia wetu kwenye club yetu hii ya wastaarabu, ndio maana hata viwanja vinene kuna Ladies free na red carpet.
 
Shoga!!!enzi hizo hata sijui you tube ni nini....anafananisha na video zilizotoka digital
Kama anataka ushindani kwa nini asizishindanishe na za davido?


ndio unisaidie kustaajabu ya firauni hayaa
 
Sasa hilo jina l romy jones laje au nalo kadandia mana kila nikumuona domo jamaa yupo nyuma kma mganga w mvua.domo anatakiwa kua mbali sana ila wapambe ndio wanamrudisha nyuma atleast angekua n investment z kumuingizia hela kma apartment cz biashara hawezi pia naona ukoo mzima unamtegemea yeye

Ndio jina lake hilo...eti ndiye official dj wake
 
Na mpira anajua huyu jembe ucmpmie hata kdogo bnafs nimemuona uwanjan anajua plus mwil wake ulivyo kiargentina twaweza kumuita culo bajo na bueno aires waka2elewa,ila yote kwa yote r kely post yake naic itakata mziz wa fitina mana ndo muhimu kwa wote 2naomjua mix kumkubal mana 2po weng

japo mie sio wa mpira kiivyo na ulowataja hata siwajui ila nahisi tu ni wakali kama kibaaaa(hutaki unapita kuleeee)
 
Back
Top Bottom