Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ni ujio wa umri tu busara zinaongezeka, unaweza sometime ukatumia trick za mamba anameza kiumbe uku machozi yanamtoka.

But/lakini ninachokuhakikishia ni kwamba they will dance our song all the time.
Maneno kuntu haya.....
 
Usijali wangu!Hawa jamaa huwezi kuwakwepa kama umepitia COET....otherwise uwe una vinasaba na watawala!
Wanatubana sana maofisin then tukitoka job tuna relax na Nyimbo kali za Ally Kiba..........

na ile sauti ilivyo tamu sasa duuuuh fuul burudani na kusahau machungu na stress zoteee
 
Hahaaaaa uwiiiiii atoto umeniuaje mpenzi???


hata mie hapo nilijicheka ati, sasa unasalimiwa ww tu mie hapana!! akuu raha jipe mwenyewe, nami nikaitikia mwaya
 
Last edited by a moderator:
Mbona wana copy and paste?But wakumbuke hata kama wana haraka kias gani hawawezi omba lifti gari ya mkaa.......

chezeaaaaa!! hata kibaka akizidiwa na kipigo cha wananchi huomba lift kwenye difender
 
Nabandukaje sasa jamani?hii thread imekua sehemu ya maisha yangu na nyie ni kama ndugu zangu,nikitoka kidogo tu nawamiss hatariiii

hv kwa mfano ukibanduka humu waenda wapi sasa??? aiiii Kiba tupe raha babaaaa
 
Ni ujio wa umri tu busara zinaongezeka, unaweza sometime ukatumia trick za mamba anameza kiumbe uku machozi yanamtoka.

But/lakini ninachokuhakikishia ni kwamba they will dance our song all the time.

roho zinawatokaje sasa! wanatamani kuigaaa ila wanashindwa wanaishia kuponda huku wanaumia, wakaamua kumchokoza Matola ati! ungewanyamazia tu
 
Last edited by a moderator:
na ile sauti ilivyo tamu sasa duuuuh fuul burudani na kusahau machungu na stress zoteee
yap mamie unajua mafans wa Ally Kiba ni waastarabu kama alivo yeye....besides Ally Kiba si mjivuni ndo maana kawatoa kimziki madogo kibao so i appreciate him!
 
yap mamie unajua mafans wa Ally Kiba ni waastarabu kama alivo yeye....besides Ally Kiba si mjivuni ndo maana kawatoa kimziki madogo kibao so i appreciate him!


na walaa humsikii akijigamba, i love the man, anajua maana ya kuitwa "mwanaume"
 
roho zinawatokaje sasa! wanatamani kuigaaa ila wanashindwa wanaishia kuponda huku wanaumia, wakaamua kumchokoza Matola ati! ungewanyamazia tu

Wale watu wana wivu balaa,eti wameambizana wakija huku wanatupa kick watuache uzi wetu udode....hahaaaa poleni sana hili ni jeshi kubwa hatutegemei/hatuwataki huku washamba wakubwa nyie
 
Last edited by a moderator:
Kiba vampire level hayo ya kuuliza mbona unakaa kimya muda mref jay moe ndo alisema shabik wa ukwel anaomba picha na sahihi sio anauliza maswal ya kisambinyigwa ambayo jibu lake mwanadsm na ngoma kal kama famous,ila kumdharau m2 aliyesimama kwenye game muongo1 na ushehe yawezekana ukawa ujanja ila upande wangu siwez kuufuata kamwe mana wapo waliochemka kwenye jiko la gesi 2kazania labda kupoa itakuwa ngumu kumbe wap we nenda kamuulze mb dog alikuwa anajiskiaje kwenye show za bure za kpnd kile
 
jamani jamani jamani mwenzenu niko safarini leo ila zawadi nimepata naomba niseme hapa
Matola thnx alottttt be blesed bro
nifah@ms lincoln na wengineo woooooteeeee nimepata zawadi yangu
cc@Moderator

jamaa yenu ana wakejeli ana jiita ye ni japan hna shida ya kusaidiwa na watu wenye njaa kwa hiyo walio kua wana shinda humu jamvini kujaza page kisa buku 20 kawa fananisha na nchi ombaomba kama malawi . waenda likizo mtwara? salamu kwa chingas wote.

"boon voyage"
 
Last edited by a moderator:
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen........
 

Shangaa sasa watu wanafurukuta lakini wapi...huyo mb doggy pamoja na kupata manager mpya lakini hamna kitu...
Nani alikua kama mb doggy wa latifa enzi zile?lakini Kiba kakaa kimya miaka miwili lakini karudi na homa ya jiji watu hawalali
 
Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen........

Heheeeee walioanza kuujua mziki enzi ya kitorondo watabisha na povu litamwagika la nguvu
 

Kha!watu wachonganishi jamani!sawa sisi ni masikini na ombaomba wewe inakuhusu nini?
Alafu si mmeambiza msije huku,mbona unaasi kambi?
 
Last edited by a moderator:
Acha kabisa, ile nyimbo imetungwa bhana. Kingekuwa kitabu ningependekeza kitumike kwenye fasihi mashuleni.

tena ningekuwa mwl ningekifundisha kwa usongo maana ningekuwa na mapenzi nacho, na wanafunzi wangekielewa kuliko kitabu chochote! huhuuuuu! kiba bwana mie hoiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…