Ali Kiba Fans' Special Thread...

Form is Temporary but CLASSIC is permanent......Ally Kiba town kitambo kipindi hicho Diamond anagombea kupiga picha naye while Ally Kiba anafanya yake!For more info.muulize Queen Darleen........

baambieee
 
Kha!watu wachonganishi jamani!sawa sisi ni masikini na ombaomba wewe inakuhusu nini?
Alafu si mmeambiza msije huku,mbona unaasi kambi?

anaachaje kuja sasa!!! weweeeee hapa mtakujaaaaa, vinawabanaaaa mwisho wanajikuta kwa mapenzi makubwa waliyonayo kwa kiba wenyewee wanajileta, kiba kiba kiba kiba kiba..... (hapo nimekumbuka mbaaali)
 
Heheeeee walioanza kuujua mziki enzi ya kitorondo watabisha na povu litamwagika la nguvu
Nataka niwatimbie kule kule niwape za uso......niwape ambakati chembe kidevu lazima wakae!
 
Wale watu wana wivu balaa,eti wameambizana wakija huku wanatupa kick watuache uzi wetu udode....hahaaaa poleni sana hili ni jeshi kubwa hatutegemei/hatuwataki huku washamba wakubwa nyie


uwiii wajikute sasa wakiweza, kutwa wako huku
 
anaachaje kuja sasa!!! weweeeee hapa mtakujaaaaa, vinawabanaaaa mwisho wanajikuta kwa mapenzi makubwa waliyonayo kwa kiba wenyewee wanajileta, kiba kiba kiba kiba kiba..... (hapo nimekumbuka mbaaali)

Hahahaaaaa uwiiiiiii atoto ujue wewe ni chizi sana...
Kitu cha leaders hichoooooo
 
Last edited by a moderator:
tena ningekuwa mwl ningekifundisha kwa usongo maana ningekuwa na mapenzi nacho, na wanafunzi wangekielewa kuliko kitabu chochote! huhuuuuu! kiba bwana mie hoiii

Hahahaaaaa wapiiiii geniveros
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa uwiiiiiii atoto ujue wewe ni chizi sana...
Kitu cha leaders hichoooooo


tena na wao walikuwepo ile cku kumsaport kiba, wakamshangiliaa na kuzomeaa upende mwingine ila waliporudi huku wakaanza kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa eti oooh walilipwa!! huku waseme sie masikini sasa hizo hela za kuwalipa zilitoka wapi!??? Kiba anawapa homa watu
 
Last edited by a moderator:
Ayaaah!!! Unaanzaje sasa kuubishia wimbo kama huo? Hata mtaa wa pili wanajifaragua tu wasiambiwe wamesaliti kambi!

wao wenyewe wanajua ule wimbo nomaaaa, ulivyotoka waliusifia balaa, enzi hizo ndio walikuwa wao halisi now hata wao hawajitambui, mwana imelewesha watu mpaka basi yani
 

Hahahaaaa umenikumbusha huduma anapenda kusema Kiba masikini,hana gari anatembea by foot...hapohapo anajisahau anasema alihonga wale maelfu ya watu pale leaders...looh ukiwa muongo uwe mjanja laa sivyo tunakuona mshamba tu
 
Nakuambia,hashuo tu wakimaliza wanaserebuka na mwana...sipati picha jitu zima kama chinga akicheza kitorondo....uwiiiiiiii


hahaaaa! nimecheka kwa nguvu mpaka nimepaliwa, duuu anakuwa km chura
 
tena ningekuwa mwl ningekifundisha kwa usongo maana ningekuwa na mapenzi nacho, na wanafunzi wangekielewa kuliko kitabu chochote! huhuuuuu! kiba bwana mie hoiii

Umeona eeeeh!
Ebu fikiria verse kama hii unaidadavua mbele ya wanafunzi wakiwemo wale matozi wa darasa....

"we bado mtoto kwa mama hujayajua mengi.
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
Amesema sana mama dunia tambala bovu ee
Kuna asali na shubiri ujana giza na nuru"

Lazima wakune vichwa ati!
Dah shikamoo Kiba!
 
wao wenyewe wanajua ule wimbo nomaaaa, ulivyotoka waliusifia balaa, enzi hizo ndio walikuwa wao halisi now hata wao hawajitambui, mwana imelewesha watu mpaka basi yani

Watu wamelewa bila kunywa.
Na lile taputapu lilotapikwa juzi ayiii.....hata Ivetta ya Sajna ina uafadhali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…